MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,264
"Hii ni ngome ya CHADEMA". Really?.
Kelele za chekechea wa kisiasa hazimzuii mtu mzima kuendelea na shughuli zake.
Wao wamebakiwa na cheap politics zinazokolezwa na spinning za kijinga na siasa zilizopitwa na wakati za kueneza sera zao za kutaka kufahamu nani ni heterosexual, gay or lesbian.
Waacheni waendelee na siasa zao za kilaghai na maji taka ambazo wanaenda nazo mpaka bungeni.
CCM tumedhubutu, tumeweza na sasa tunatenda kama wananchi wanavyotaka kutende.
Kelele za chekechea wa kisiasa hazimzuii mtu mzima kuendelea na shughuli zake.
Wao wamebakiwa na cheap politics zinazokolezwa na spinning za kijinga na siasa zilizopitwa na wakati za kueneza sera zao za kutaka kufahamu nani ni heterosexual, gay or lesbian.
Waacheni waendelee na siasa zao za kilaghai na maji taka ambazo wanaenda nazo mpaka bungeni.
CCM tumedhubutu, tumeweza na sasa tunatenda kama wananchi wanavyotaka kutende.