Stoudemire
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 839
- 207
Kwani massoud ndio mkali peke yake? Acheni hizo
sorry who?!
Tuzo
ni nzuri ila nimeona ziko bias. Sijaona najembe kama kina Ulimwengu na
wenzake, au ni za ma Junior. Ila alikuweko Comred Majura. Nyie
mmeonaje?
kwa hiyo mh jk kama
waziri analala
bungeni asipigwe
picha?
Kumbe ndio maana ya kukemea picha!kwa hiyo mh jk kama
waziri analala
bungeni asipigwe
picha?
Hapana nilikuwa sijui hilo. Basi ndo maana.tuzo ni kwa waliopeleka kazi zishindanishwe na za wengine. una hakika walishiriki?
Wapi masoud kipanya?
Wapi kubenea?
Wapi Lula?
Wapi jenerali?