Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,086
Salaam wanabodi!
Umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi kata ya Ruanda mkoa wa mbeya jijini mbeya unaendelea ingawa nimeingia kwa kuchelewa nitajaribu kuleta kile nitakachopata hapa
updates:
Magamba wanapanga kulikomboa jimbo la mbeya kutoka mikononi mwa chadema pamoja na kiti cha udiwani wa kata ya ruanda inayoshikiliwa na chadema,yaani hapa hoja zote ni jinsi ya kuiondoa chadema hawana hoja zingine,
updates:
kuachia ikulu ni kitu ambacho hakiwezekani,chadema wasahau kabisa kuingia ikulu,tuko tayari kukesha nje,kumwaga damu lakini sio kuachia ikulu ichukuliwe na chadema.
More Updates
Vijana wa chadema kinachowasumbua ni njaa tu,na kazi yao ni ndogo tu tutawadhibiti tutaongea na wakuu wetu tuwaeleze njia za kuwamaliza vijana wa chadema kwa kuanza na kumaliza njaa waliyonayo!
Tutawaambia wenyeviti wote wa matawi watafute matatizo ya vijana! Tunaanza na jezi za mpira ambazo zote tutapiga chata ya chama cha mapinduzi mpaka mpira utapigwa chata ya CCM.
Tutawaagiza wakurugenzi wote kuhakikisha waajiiliwa wana kadi za CCM.
Nimeamua kutoka kwa sababu wanaongea Pumba tu hawana hoja za msingi!
Umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi kata ya Ruanda mkoa wa mbeya jijini mbeya unaendelea ingawa nimeingia kwa kuchelewa nitajaribu kuleta kile nitakachopata hapa
updates:
Magamba wanapanga kulikomboa jimbo la mbeya kutoka mikononi mwa chadema pamoja na kiti cha udiwani wa kata ya ruanda inayoshikiliwa na chadema,yaani hapa hoja zote ni jinsi ya kuiondoa chadema hawana hoja zingine,
updates:
kuachia ikulu ni kitu ambacho hakiwezekani,chadema wasahau kabisa kuingia ikulu,tuko tayari kukesha nje,kumwaga damu lakini sio kuachia ikulu ichukuliwe na chadema.
More Updates
Vijana wa chadema kinachowasumbua ni njaa tu,na kazi yao ni ndogo tu tutawadhibiti tutaongea na wakuu wetu tuwaeleze njia za kuwamaliza vijana wa chadema kwa kuanza na kumaliza njaa waliyonayo!
Tutawaambia wenyeviti wote wa matawi watafute matatizo ya vijana! Tunaanza na jezi za mpira ambazo zote tutapiga chata ya chama cha mapinduzi mpaka mpira utapigwa chata ya CCM.
Tutawaagiza wakurugenzi wote kuhakikisha waajiiliwa wana kadi za CCM.
Nimeamua kutoka kwa sababu wanaongea Pumba tu hawana hoja za msingi!