Hawa Kenya mbona wana wabania Uganda...
Sherehe zimeanza Luanda, vilio Uganda!
wameniuzi sana hawa wakenya hawafai kabisa,hata ktk radio bbcswahili watu wengi wanawalani wakenya kuwabania waganda,ila naskia waliahidiwa kshs 60mln na rais kibaki,ok ndio soka kuna kushinda na kushindwa na kutoka sare.Watu wa afrika mashariki ovyo kabisa hasa wakenya ambao hawakuwa na nafasi yoyote ya kufuzi ila kutokana na ubinafsi wa wakenya wa kutaka kujiona wao ndio.supepower wa afrika mashariki wameamua kuwakomoa waganda na wana afrika mashariki kwa ujumla
Watu wa afrika mashariki ovyo kabisa hasa wakenya ambao hawakuwa na nafasi yoyote ya kufuzi ila kutokana na ubinafsi wa wakenya wa kutaka kujiona wao ndio.supepower wa afrika mashariki wameamua kuwakomoa waganda na wana afrika mashariki kwa ujumla
Mkuu kwenye soka hakuna cha kuachiana hivihivi kisa EAC.
Haina neno, Kesho Taifa Stars watatutoa kimasomaso EAC