Ibada ya Jumapili 26/03/2017 Bishop Dr Josephat Gwajima, Wageni kadhaa wahudhuria

Hana habari mpya,kila siku habari hizo hizo za vyeti badala ya kufocus kurudisha wanakondoo kundini?,eti Dr hivi huu udr alitunikiwa na chuo gani kwa lipi alilofanyia jamii?,kukufua misukule fake?
Ulitaka habari mpya ipi mwacheni atoe ya moyoni
 
Mwacheni huyo tubamulia timing. Haiwezekani yeye kanisa lake linaingilia maswala ya siasa. Katika hisitoria pale dini zinapoingilia siasa basi machafuko huwa yanashika kasi. Awahubiri kondoo wake wamujue Mungu na sio Bashite.
Historia ipi hebu toa mfano? Maana dini na siasa havitenganishwi
 
Mwacheni huyo tubamulia timing. Haiwezekani yeye kanisa lake linaingilia maswala ya siasa. Katika hisitoria pale dini zinapoingilia siasa basi machafuko huwa yanashika kasi. Awahubiri kondoo wake wamujue Mungu na sio Bashite.
Acha ubwege wewe dini yenyewe ni siasa tupu.
 
Hivi kati ya watanzania wanaomuunga mkono Gwajima na viongozi wanaomkumbatia Makonda ni nani aliyethibitisha kutokuwa na akili?Suala na kupambana na vyeti feki na watumishi hewa halikuanzishwa na wananchi,ni vita iliyoanzishwa na mkuu wa nchi.

Bila kuangalia asemacho Gwajima,suala la Makonda kutumia jina feki na vyeti feki ni ukweli ambao hakuna yeyote awezaye kuupinga kuanzia ikulu ya magogoni alipokumbatiwa hadi kwenu mnaomtetea.Siungi mkono madhabahu ya Bwana kugeuzwa ukumbi wa mijadala,lakini siwezi kuukataa ukweli kwa kisingizio chepesi cha kudharau anachokifanya Gwajima mtu ambaye kimetumika hadi kikosi maalumu kabisa cha ulinzi ili kulazimisha kurushwa kwa kashfa iliyolenga kummaliza.

Kama utumishi wa Makonda umegharimu hadi nafasi za makada wenzake waliopambana usiku na mchana kuipigania ccm tena wakati ambao "mbeleko" yake ilikuwa haifanyi chochote zaidi ya kusimamiwa barabara,kwa nini uione jamii ya watanzania kuwa ni watu wasio na akili huku ukiwatukuza wanaotumia madaraka yao vibaya kukiuka viapo vyao?

Makonda aliyevamia kituo cha utangazaji na kukiteka kwa muda huku akitishia kuwafunga watu miezi 6 na kuwaweka kwenye orodha ya wauzaji wa Dawa za kulevya,ulitaka afanye nini ili awajibishwe?Mwenye akili timamu hawezi kumwajibisha Nape aliyetimiza wajibu wake kuchunguza uhalifu uliofanywa na makonda,ni mwendawazimu pekee na mlevi wa madaraka awezaye kubariki uhuni uliofanywa na makonda.

Kama mnafikiri hatuna akili mnajidanganya,mnaweza kuvitiisha viwiliwili vyetu tu,mnaweza Kukodi majeshi na hata kuiuwa miili yetu ili tu kumlinda makonda,lakini kamwe hamtaweza kuuficha Ukweli kuwa makonda anatumia jina feki na vyeti feki vya kitaaluma.

Mnalazimisha jambo la kipumbavu sana,makonda hakushuka toka mbinguni,alizaliwa na kukulia katikati ya jamii,wazazi wake tunawafahamu,kumkingia kifua katika uhalifu wake na kumuacha aendelee kuikalia nafasi aliyonayo huku akitumia majina na vyeti feki ni uzezeta usiomithirika,ni kujitoa ufahamu kwa kiwango cha lami.

Hata makonda alindwe na kikosi maalumu cha ulinzi wa rais,haiwezi kuondoa ukweli kuwa ametenda jinai kwa kutumia majina feki na vyeti feki.Mazezeta ni wale wanaomlinda makonda,siyo sisi tuliokuwa na kucheza naye tunaomfahamu makonda kwa majina yake halisi.Zezeta ni yule anayetumia nguvu kumtetea mhalifu hapa jukwaani.
hii inchi inasikitisha sana ss wananchi hatupaswi kumuunga mkono mtu yeyote anaetumia mambo ya kitaifa kwa maslah binafs

huyu mzee amejificha kwenye koti la kupambana na vyeti feki wakati hana dhamira hiyo dhamira yake kuu ni kilipiza kisas

huyu mtu si wakuungwa mkono anaetumia jambo la maslah ya nchi kwa maslah yake binafs hii haitusaidii kuleta maendeleo ndani nchi yetu

kwasababu huyu mzee hana tatizo na vyeti feki wala hana tatizo na wenye vyeti feki wengine bali huyu anapambana na mtu ili kulipa kisasi

ndiyo maana rais yupo makini hakukubali kutumika kumsaidia mtu huyu kutimiza malengo yake ya kulipa kisasi

na kwa vlie leo siasa za nchi hii zimepoteza mwelekeo hawana agenda yeyote wanayo simamia wanakuwa watu wa matukiyo ya mlipuko

agenda yao kubwa ilikua ufisad agenda hiyo sasa haina nafasi kutokana na rais aliyopo sasa kupambana kwa vitendo

kwa hiyo wanasiasa sasa hv wanategemea matukio ya mlipuko inakua ndiyo agenda yao siasa za namna hii tuzipinge kwa nguvu zote hazitusaidii kuleta maendeleo kwenye nchi yetu siasa zisizokua na malengo wala mipango maalum

wao kama wanasiasa lazima wawe na agenda wanazopigania kwa maslah ya nchi na siyo kutegemea matukio ya mlipuko

mapambano ya namna hii hayana tija kwa vyama vyao wala hayatusaidii kama nchi badala yake zinaturudisha nyuma

mathalan mapambano ya bashite mfano yakafanikiwa je ss kama wananchi au kama nchi itakua imetusaidia kwa maendeleo ya nchi yetu

kwasababu hawa wakifanikiwa hilo la kumuondoa bashite mapambano yao ya vyeti feki yatakua yamefika mwisho kwasababu hawana tatizo kabisa na wenye vyeti feki au wala rushwa wengine

bashite ni kama tone tu kwenye bahali utakua bado hujaisaidia nchi kuondoa tatizo Bali utakuwa umetimiza malengo yako tu

watu hawa watakaa pembeni na kuliacha tatizo la vyeti feki lipo palepale wakisubiri jambo lingine wapambane kwa maslah yao

hawa watu wameacha kuunga mkono vita vya kupambana na vyeti feki na wala rusha wao wamepeleka nguvu zao zote kupambana na mtu mmoja tena kwa maslahi yao binafs ya kulipa kisasi

namalizia kwa kusema tumpuuzie mtu yeyote au kundi lolote anaetumia jambo la kitaifa kwa maslah yake binafs

tusikubali kutumika na mtu au kikundi cha watu ambao wanaweka mambo yao binafs kwenye mambo ya kitaifa

TUIPENDE NCHI YETU TUUNGE MKONO MAPAMBANO YENYE DHAMIRA YA KULETA MAENDELEO YA NCHI YETU
 
hii inchi inasikitisha sana ss wananchi hatupaswi kumuunga mkono mtu yeyote anaetumia mambo ya kitaifa kwa maslah binafs

huyu mzee amejificha kwenye koti la kupambana na vyeti feki wakati hana dhamira hiyo dhamira yake kuu ni kilipiza kisas

huyu mtu si wakuungwa mkono anaetumia jambo la maslah ya nchi kwa maslah yake binafs hii haitusaidii kuleta maendeleo ndani nchi yetu

kwasababu huyu mzee hana tatizo na vyeti feki wala hana tatizo na wenye vyeti feki wengine bali huyu anapambana na mtu ili kulipa kisasi

ndiyo maana rais yupo makini hakukubali kutumika kumsaidia mtu huyu kutimiza malengo yake ya kulipa kisasi

na kwa vlie leo siasa za nchi hii zimepoteza mwelekeo hawana agenda yeyote wanayo simamia wanakuwa watu wa matukiyo ya mlipuko

agenda yao kubwa ilikua ufisad agenda hiyo sasa haina nafasi kutokana na rais aliyopo sasa kupambana kwa vitendo

kwa hiyo wanasiasa sasa hv wanategemea matukio ya mlipuko inakua ndiyo agenda yao siasa za namna hii tuzipinge kwa nguvu zote hazitusaidii kuleta maendeleo kwenye nchi yetu siasa zisizokua na malengo wala mipango maalum

wao kama wanasiasa lazima wawe na agenda wanazopigania kwa maslah ya nchi na siyo kutegemea matukio ya mlipuko

mapambano ya namna hii hayana tija kwa vyama vyao wala hayatusaidii kama nchi badala yake zinaturudisha nyuma

mathalan mapambano ya bashite mfano yakafanikiwa je ss kama wananchi au kama nchi itakua imetusaidia kwa maendeleo ya nchi yetu

kwasababu hawa wakifanikiwa hilo la kumuondoa bashite mapambano yao ya vyeti feki yatakua yamefika mwisho kwasababu hawana tatizo kabisa na wenye vyeti feki au wala rushwa wengine

bashite ni kama tone tu kwenye bahali utakua bado hujaisaidia nchi kuondoa tatizo Bali utakuwa umetimiza malengo yako tu

watu hawa watakaa pembeni na kuliacha tatizo la vyeti feki lipo palepale wakisubiri jambo lingine wapambane kwa maslah yao

hawa watu wameacha kuunga mkono vita vya kupambana na vyeti feki na wala rusha wao wamepeleka nguvu zao zote kupambana na mtu mmoja tena kwa maslahi yao binafs ya kulipa kisasi

namalizia kwa kusema tumpuuzie mtu yeyote au kundi lolote anaetumia jambo la kitaifa kwa maslah yake binafs

tusikubali kutumika na mtu au kikundi cha watu ambao wanaweka mambo yao binafs kwenye mambo ya kitaifa

TUIPENDE NCHI YETU TUUNGE MKONO MAPAMBANO YENYE DHAMIRA YA KULETA MAENDELEO YA NCHI YETU
Umesikiliza mahubir yke leo? Yalikua mazur balaaa.......tuache tofauti ya dini na madhehebu na makabila......mnavyomfikiria gwajima sivyooo...
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Yaani umeandika juu ya kikaratasi mlichoonyeshwa ndio unadai cheti, ha ha haaa tafuta wenzako mnaotetemeka, kama amewaonyesha kijikaratasi chenye data za uongo, na alivhochana luwaaminisha kimekaa miaka mingi ha ha haaa basi lolote atawaonyesha mfurahie na kujiju

Wewe kaa juu ya paa kaa wapi, ni maisha yako na uamuzi wako.




Unatia kinyaaa teh

Ila ukae ukijua hauendi pale kumwabudu Mungu bali kufata udaku kwasababu umeyaandika mwenyewe, mwisho wa siku kila mtu atabeba msalaba wake.

Ukitoka hapo natumaini hutategemea Rais na RC wakuwekee chakula mezani.

Hapa kazi tu
 
Salamu kwenu GT.

Baada ya jumapili iliyopita kuweka wazi cheti cha matokeo ya Paul Makonda na hujuma zake za kumtumia dada kupotosha umma, Dr.Gwajima pamoja na mahubiri,kesho ataendelea kuwafunulia watanzania. Kesho ataweka wazi cheti cha Paul Chris tian mwenyewe ambacho ni cheti alichokitumia Makonda kupatia elimu ya chuo.

Kupitia account yake ya instagram, Askofu Gwajima ametoa dondoo.

Wale wazee fa fa fa fa faaaaa mjiandae kesho kwa vyuma kutoka kwa The Great Pastor ever asiyefumbia wala kupepesa macho dhidi ya maovu na uonevu kwa watanzania dhidi ya genge la wahuni wanaotumia madaraka yao vibaya.

Kesho macho na masikio yote kwenye kanisa la Ufunuo na Uzima.


Hivi bado Gwajima ana waumini pamoja na matendo yake maovu?Kweli wanadamu ni kituko. Dah,inanikumbusha Kibwetere.
 
Salamu kwenu GT.

Baada ya jumapili iliyopita kuweka wazi cheti cha matokeo ya Paul Makonda na hujuma zake za kumtumia dada kupotosha umma, Dr.Gwajima pamoja na mahubiri,kesho ataendelea kuwafunulia watanzania. Kesho ataweka wazi cheti cha Paul Chris tian mwenyewe ambacho ni cheti alichokitumia Makonda kupatia elimu ya chuo.

Kupitia account yake ya instagram, Askofu Gwajima ametoa dondoo.

Wale wazee fa fa fa fa faaaaa mjiandae kesho kwa vyuma kutoka kwa The Great Pastor ever asiyefumbia wala kupepesa macho dhidi ya maovu na uonevu kwa watanzania dhidi ya genge la wahuni wanaotumia madaraka yao vibaya.

Kesho macho na masikio yote kwenye kanisa la Ufunuo na Uzima.



Naweza kuamini kiwango cha elimu Tanzania kimeshuka, kweli mtu na akili zako kabisa unaweza poteza muda kumuongelea Gwajima!!! Kile kiratasi chake ndio matokeo na cheti !!! Ama kweli taifa bado lina wajinga wengi
 
Back
Top Bottom