mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,270
- 12,310
Karibu ujionee pira biriani ,pira ngamia hadi timu flani zimeamua kuhama nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlandege wameomba gemu iwe hivyo ili wajitathimini vizuri na gemu za champions leagueHuyu kocha simwelewi yaani hata mechi za kirafiki kina Kahata, Duchu, Nyoni, Kakolanya hawapewi nafasi
Leteni kikosi bac
Shukran mkuu, maana ake wengine tumekosa muda wa kucheki game.
Kikosi kilichobaki kilicheza friendly game asubuhi kikashinda 3Shukran mkuu, maana ake wengine tumekosa muda wa kucheki game.
Ahsante kwa kutujuza, tulicheza na timu gani? Hata sikujua kama mnyama alicheza asubuhi.Kikosi kilichobaki kilicheza friendly game asubuhi kikashinda 3
jibu hakuna?Ahsante kwa kutujuza, tulicheza na timu gani? Hata sikujua kama mnyama alicheza asubuhi.
Walicheza na kikosi b ila Simba upande wa media kuanzia website yao ni wazembe wanashindwa kupost habari za Simba mpaka tunasikia kwa watu backAhsante kwa kutujuza, tulicheza na timu gani? Hata sikujua kama mnyama alicheza asubuhi.
PoapoaWalicheza na kikosi b ila Simba upande wa media kuanzia website yao ni wazembe wanashindwa kupost habari za Simba mpaka tunasikia kwa watu back
FT Simba 3- 1 Mlandege
Mkuu ulitaka wapost kuwa wamecheza na Team B, Tusiwe watu wa lawama khaa...Walicheza na kikosi b ila Simba upande wa media kuanzia website yao ni wazembe wanashindwa kupost habari za Simba mpaka tunasikia kwa watu back
Mkuu ulitaka afunge 10?Ila mugalu bado...
Anakosa magoli mengi mnooo