REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,880
Swala la kufilisiwa ni kwa mujibu wa sheria, huwezi kutaka kila muhalifu ahukumiwe kunyongwa wakati hukumu yake kwa mujibu wa sheria ya bunge ni kifungo cha miaka 10 hadi 35Zile zilizopelekwa kwa rais nini kimetokea hadi sasa zaidi ya kutumbuana? Kuna hata mmoja muhusika amefilisiwa na kufungwa?