Live coverage: Ni lini vituo vyetu vya runinga vitaanza kurusha matukio moja kwa moja pindi yanapotokea?

Kingsmann

JF-Expert Member
Oct 4, 2018
4,446
16,301
Nakumbuka kipindi hiko tukiwa wadogo redio ndo zilikuwa njia kuu ya kupata taarifa mbalimbali za kitaifa na kimataifa, kulikuw hamna runinga wala mitandao ya kijamii. Taarifa ya habari yenyew ni kwamba mnaisubiri kwa interval ya masaa kadhaa kwa siku, asubuhi mchana na usiku.

Baadae tukahama kutoka redio tukaenda kweny runinga, lakini nazo ni yaleyale tuu ya kusubiri taarifa za habari muda fulani na fulani. Runinga za wenzetu nchi za nje hawana mambo ya kulundika taarifa hizi eti waje wazisome baadae, wako online masaa yote na tukio likitokea linaripotiwa palepale kutoka scene ilipo.

Muda si muda tukaingia kwenye simu janja na kuna social medias za kumwaga. Sasa hapa ndipo penye ukakasi, kwa sasa watu wenye simu janja hawaoni umuhimu tena wa vipindi vya habari kwa kuwa matukio yoote ya siku nzima wanayapata pale yanapotokea tuu na sio kusubiri waje waangalie yalorekodiwa kwenye runinga.

Runinga kubwa kubwa kama CNN, AL-JAZEERA,SKY NEWS, BBC, AFP na hata media za majirani zetu Kenya hapo tuu wanafanya live coverage ya news. Hamna mambo ya kurekodi na kusubiri usiku mzioneshe.

Kwa hali hii vituo vyetu vya runinga vitaweza kushindana na kasi ya maendeleo ya teknolojia ya habari ambapo kila mtu anapata habari kiganjani?

imagesss.png



imagess.jpg





imagesss.jpg




x.jpg
 
Mimi nilipata mashaka na ujio wa starTime nilihisi wakiachiwa wataliteka soko na wataanza kutuburuza nahisi wameanza kushika hatamu wamepuuza kurusha local channel bure kwa visimbuzi vinavyotumia dish.,Wameanza kupandisha bei kila wanapojisikia, naamini yajayo yanafurahisha hivyo wazo la live coverage inaweza kuwa ndoto.
 
Nakumbuka kipindi hiko tukiwa wadogo redio ndo zilikuwa njia kuu ya kupata taarifa mbalimbali za kitaifa na kimataifa, kulikuw hamna runinga wala mitandao ya kijamii. Taarifa ya habari yenyew ni kwamba mnaisubiri kwa interval ya masaa kadhaa kwa siku, asubuhi mchana na usiku.

Baadae tukahama kutoka redio tukaenda kweny runinga, lakini nazo ni yaleyale tuu ya kusubiri taarifa za habari muda fulani na fulani. Runinga za wenzetu nchi za nje hawana mambo ya kulundika taarifa hizi eti waje wazisome baadae, wako online masaa yote na tukio likitokea linaripotiwa palepale kutoka scene ilipo.

Muda si muda tukaingia kwenye simu janja na kuna social medias za kumwaga. Sasa hapa ndipo penye ukakasi, kwa sasa watu wenye simu janja hawaoni umuhimu tena wa vipindi vya habari kwa kuwa matukio yoote ya siku nzima wanayapata pale yanapotokea tuu na sio kusubiri waje waangalie yalorekodiwa kwenye runinga.

Runinga kubwa kubwa kama CNN, AL-JAZEERA,SKY NEWS, BBC, AFP na hata media za majirani zetu Kenya hapo tuu wanafanya live coverage ya news. Hamna mambo ya kurekodi na kusubiri usiku mzioneshe.

Kwa hali hii vituo vyetu vya runinga vitaweza kushindana na kasi ya maendeleo ya teknolojia ya habari ambapo kila mtu anapata habari kiganjani?


View attachment 921773


View attachment 921774




View attachment 921776



View attachment 921775
Kwa hali hii vituo vyetu vya runinga vitaweza kushindana na kasi ya maendeleo ya teknolojia ya habari ambapo kila mtu anapata habari kiganjani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baadae tukahama kutoka redio tukaenda kweny runinga, lakini nazo ni yaleyale tuu ya kusubiri taarifa za habari muda fulani na fulani. Runinga za wenzetu nchi za nje hawana mambo ya kulundika taarifa hizi eti waje wazisome baadae, wako online masaa yote na tukio likitokea linaripotiwa palepale kutoka scene ilipo.
Waziri mwenyewe wa habari anadhibiti kila kona ya content ya kupeleka hewani
 
Nakumbuka kipindi hiko tukiwa wadogo redio ndo zilikuwa njia kuu ya kupata taarifa mbalimbali za kitaifa na kimataifa, kulikuw hamna runinga wala mitandao ya kijamii. Taarifa ya habari yenyew ni kwamba mnaisubiri kwa interval ya masaa kadhaa kwa siku, asubuhi mchana na usiku.

Baadae tukahama kutoka redio tukaenda kweny runinga, lakini nazo ni yaleyale tuu ya kusubiri taarifa za habari muda fulani na fulani. Runinga za wenzetu nchi za nje hawana mambo ya kulundika taarifa hizi eti waje wazisome baadae, wako online masaa yote na tukio likitokea linaripotiwa palepale kutoka scene ilipo.

Muda si muda tukaingia kwenye simu janja na kuna social medias za kumwaga. Sasa hapa ndipo penye ukakasi, kwa sasa watu wenye simu janja hawaoni umuhimu tena wa vipindi vya habari kwa kuwa matukio yoote ya siku nzima wanayapata pale yanapotokea tuu na sio kusubiri waje waangalie yalorekodiwa kwenye runinga.

Runinga kubwa kubwa kama CNN, AL-JAZEERA,SKY NEWS, BBC, AFP na hata media za majirani zetu Kenya hapo tuu wanafanya live coverage ya news. Hamna mambo ya kurekodi na kusubiri usiku mzioneshe.

Kwa hali hii vituo vyetu vya runinga vitaweza kushindana na kasi ya maendeleo ya teknolojia ya habari ambapo kila mtu anapata habari kiganjani?


View attachment 921773


View attachment 921774




View attachment 921776



View attachment 921775
mkuu ni cost kubwa mno kwa hivi vituo sio rahisi,azam wameanza revolution ya kuweka vituo vikubwa kwenye miji kadhaa mikubwa ambapo huko wanaweza kwenda live pia wanafunga mitambo mipya ili kuwezesha jambo hilo,kwa kiasi cha chini inahitajika bilioni 200 ili kituo kieeze kwenda live popote pale nchini
 
Back
Top Bottom