johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,607
- 141,431
Rais mstaafu Dr Kikwete amewataka wana Yanga kuwa wamoja na wajikite kwenye kuiletea klabu maendeleo. Amewataka wabuni njia endelevu ya kuiletea klabu mapato na wasiige ile ya kumkabidhi timu mwekezaji mmoja kwani akipata matatizo maana yake Yanga nayo itapata matatizo.
Katika mkutano huo wa harambee ya kuichangia klabu ya Yanga mgeni rasmi ni Waziri mkuu Kassim Majaliwa
Viongozi wengine waliohudhuria ni pamoja na Waziri Mwakyembe na RC Makonda.
Dr Kikwete amealikwa kama mgeni maalumu.
Maendeleo hayana vyama!
Katika mkutano huo wa harambee ya kuichangia klabu ya Yanga mgeni rasmi ni Waziri mkuu Kassim Majaliwa
Viongozi wengine waliohudhuria ni pamoja na Waziri Mwakyembe na RC Makonda.
Dr Kikwete amealikwa kama mgeni maalumu.
Maendeleo hayana vyama!