johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,833
- 141,753
- Thread starter
- #41
Nguvu ya wakenya na wazimbabwe iko kwenye vitendo lakini watanzania wamejaaliwa maneno!Udanganyifu haushindi siku zote, Moi wa Kenya alidanganyaa weee but alishindwa siku moja, Mugabe alikuwa akishinda 90% Leo yuko wapi? Sembuse nyie wa 58% mbona tupo jirani sana very soon mtaonja machungu.