Live Clouds 360: Maalimu Seif anazungumzia mstakabali wa siasa nchini

Karibu!

Stay tuned!

Maalim Seif anasema uamuzi wa kuhamia ACT wazalendo haukuja ghafla bali ulikuwa ni mchakato.
Anasema walifanya mazungumzo na vyama vyote vya UKAWA ikiwemo Chadema na Nccr na kwote walikaribishwa ila ACT wazalendo walipata scores nyingi.

Kitu kikubwa kilichowavutia kwa ACT wazalendo ni uthabiti wa viongozi wao, malengo na dhamira zao pia rika la viongozi wao kwani ni vijana wenye nguvu.

Maalim Seif amesema wameenda ACT wazalendo kuimarisha nguvu ya upinzani na kamwe si kutafuta madaraka.

Maalim anasema watakusanya kadi zao zote za Cuf bendera pamoja na sare na watampa KC Zitto ili akamkabidhi Msajili wa vyama ambaye atajua pa kuzipeleka.

Cuf ina majengo matatu tu mengine yote ni mali za wanachama hivyo wana hiyari ya kubadili matumizi.
Lengo la ACT ni kushika dola hivyo amevitaka vyama vya upinzani kuungana ili kuitoa CCM madarakani.

Maalim Seif amemalizia kwa kusema lengo la msajili na serikali ilikuwa ni kummaliza kisiasa wakiamini wakishamnyang'anya Cuf basi atakimbilia Chadema ndio sababu walipigwa na butwaa waliposikia amejiunga na ACT wazalendo.

Ahsanteni
Maendeleo hayana vyama!
alipoulizwa kwamba kwa nini hakujiunga Chadema ambacho arguably ndicho chenye nguvu na kingefanya apate umaarufu zaidi akajibu "ni kweli Chadema ni chama imara na viongozi imara lakini si busara kuweka mayai yote kwenye kapu moja".

tafsiri rahisi ya hili jibu la Maalim ni kuwa anaichukulia kambi ya upinzani (ukiondoa kina Lyatonga, Lipumba, Cheyo, nk) kama ni umoja wenye maslahi yanayofanana.
 
Naamini maalim seif 2020" atapumzika, alicho fanya ni kuwaongoza wana chama wake kwenye jahazi jipya, Juma Duni anaweza kuachiwa nafasi ya maalim.

CCM wanamuogopa maalim kwa misimamamo yake, wanavyo jidanganya kwamba maalim akitoka kwenye siasa ccm zanzibar itatawala, yaguju.

Wazanzibari wana msimamo yao kwa ujumla watapigania haki yao ya muungano kuhakikisha zanzibar inapata mamlaka kamili, iwe nje ya siasa au ndani ya siasa.



Sent using Jamii Forums mobile app
Jabari la siasa Maalim seif
 
Maalim Seif amemalizia kwa kusema lengo la msajili na serikali ilikuwa ni kummaliza kisiasa wakiamini wakishamnyang'anya Cuf basi atakimbilia Chadema ndio sababu walipigwa na butwaa waliposikia amejiunga na ACT wazalendo.


Hapo mwisho neno waliposikia amejiunga na ATC walipigwa butwaa ni kauli za kisiasa tu kabla kujiunga CUF wenyewe walishakutangaza unahamia huko leo iwe hao jamaa wasijue na wakushangae wakati unasemakana ni washirika wako..
Tatizo wapinzani manawavunja moyo wafuasi inakua kama ya Raila Odinga mnahenyesha watu wanapata vilema wengine wanakufa mwisho mnashikana mikono bila fidia kwa waathirika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maalim Seif amemalizia kwa kusema lengo la msajili na serikali ilikuwa ni kummaliza kisiasa wakiamini wakishamnyang'anya Cuf basi atakimbilia Chadema ndio sababu walipigwa na butwaa waliposikia amejiunga na ACT wazalendo.


Hapo mwisho neno waliposikia amejiunga na ATC walipigwa butwaa ni kauli za kisiasa tu kabla kujiunga CUF wenyewe walishakutangaza unahamia huko leo iwe hao jamaa wasijue na wakushangae wakati unasemakana ni washirika wako..
Tatizo wapinzani manawavunja moyo wafuasi inakua kama ya Raila Odinga mnahenyesha watu wanapata vilema wengine wanakufa mwisho mnashikana mikono bila fidia kwa waathirika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni bwashee!
 
alipoulizwa kwamba kwa nini hakujiunga Chadema ambacho arguably ndicho chenye nguvu na kingefanya apate umaarufu zaidi akajibu "ni kweli Chadema ni chama imara na viongozi imara lakini si busara kuweka mayai yote kwenye kapu moja".

tafsiri rahisi ya hili jibu la Maalim ni kuwa anaichukulia kambi ya upinzani (ukiondoa kina Lyatonga, Lipumba, Cheyo, nk) kama ni umoja wenye maslahi yanayofanana.
Usiweke mayai yote kwenye kapu moja ina maana: Adui asishambuliwe kupitia sehemu moja! Bali apigwe kwa pande tofauti ili achanganyikiwe na avurugike zaidi.

Maalim angelikuwa Chadema kwa Ccm ingelikuwa ni kazi rahisi kuangusha mashambulizi upande mmoja. Kwa sasa wapinzani wana ngome mbili kubwa.

Ngome nyengine imeshikilia zaidi Zenji, nyengine imeshikila zaidi bara. Ccm hapa changamoto anayo.

Lakini vuta picha kama mayai(Chadema+Maalim) yangeliwekwa kwenye kapu moja unafikiri hali ingelikuwaje? Lingelirushwa jiwe moja tu pana lenye uzito mkubwa mayai yote yangelivunjika vunjika kwa urahisi.

Lakini Ccm wakiharibu kapu hili bado wenye mayai wana kapu jengine la akiba.
 
Usiweke mayai yote kwenye kapu moja ina maana: Adui asishambuliwe kupitia sehemu moja! Bali apigwe kwa pande tofauti ili achanganyikiwe na avurugike zaidi.

Maalim angelikuwa Chadema kwa Ccm ingelikuwa ni kazi rahisi kuangusha mashambulizi upande mmoja. Kwa sasa wapinzani wana ngome mbili kubwa.

Ngome nyengine imeshikilia zaidi Zenji, nyengine imeshikila zaidi bara. Ccm hapa changamoto anayo.

Lakini vuta picha kama mayai(Chadema+Maalim) yangeliwekwa kwenye kapu moja unafikiri hali ingelikuwaje? Lingelirushwa jiwe moja tu pana lenye uzito mkubwa mayai yote yangelivunjika vunjika kwa urahisi.

Lakini Ccm wakiharibu kapu hili bado wenye mayai wana kapu jengine la akiba.
Hahahaa......... Mnajifariji!
 
Karibu!

Stay tuned!

Maalim Seif anasema uamuzi wa kuhamia ACT wazalendo haukuja ghafla bali ulikuwa ni mchakato.
Anasema walifanya mazungumzo na vyama vyote vya UKAWA ikiwemo Chadema na Nccr na kwote walikaribishwa ila ACT wazalendo walipata scores nyingi.

Kitu kikubwa kilichowavutia kwa ACT wazalendo ni uthabiti wa viongozi wao, malengo na dhamira zao pia rika la viongozi wao kwani ni vijana wenye nguvu.

Maalim Seif amesema wameenda ACT wazalendo kuimarisha nguvu ya upinzani na kamwe si kutafuta madaraka.

Maalim anasema watakusanya kadi zao zote za Cuf bendera pamoja na sare na watampa KC Zitto ili akamkabidhi Msajili wa vyama ambaye atajua pa kuzipeleka.

Cuf ina majengo matatu tu mengine yote ni mali za wanachama hivyo wana hiyari ya kubadili matumizi.
Lengo la ACT ni kushika dola hivyo amevitaka vyama vya upinzani kuungana ili kuitoa CCM madarakani.

Maalim Seif amemalizia kwa kusema lengo la msajili na serikali ilikuwa ni kummaliza kisiasa wakiamini wakishamnyang'anya Cuf basi atakimbilia Chadema ndio sababu walipigwa na butwaa waliposikia amejiunga na ACT wazalendo.

Ahsanteni
Maendeleo hayana vyama!
Kwani watu wakienda cdm wanamalizwa?

Yeye aseme aliona cdm ni kubwa kuliko Yeye, cdm sio mtu ni taasisi unaingia unaikuta, ukichoka unaondoka unaiacha ilivyo.

akawaulize Dr slaa na Lowasa
 
Kwani watu wakienda cdm wanamalizwa?

Yeye aseme aliona cdm ni kubwa kuliko Yeye, cdm sio mtu ni taasisi unaingia unaikuta, ukichoka unaondoka unaiacha ilivyo.

akawaulize Dr slaa na Lowasa
Hivi unaamini Chadema bado ipo?!

Hii inayoshindwa kulinda kura zake kwenye chaguzi utasema iko hai kweli?!
 
Usiweke mayai yote kwenye kapu moja ina maana: Adui asishambuliwe kupitia sehemu moja! Bali apigwe kwa pande tofauti ili achanganyikiwe na avurugike zaidi.

Maalim angelikuwa Chadema kwa Ccm ingelikuwa ni kazi rahisi kuangusha mashambulizi upande mmoja. Kwa sasa wapinzani wana ngome mbili kubwa.

Ngome nyengine imeshikilia zaidi Zenji, nyengine imeshikila zaidi bara. Ccm hapa changamoto anayo.

Lakini vuta picha kama mayai(Chadema+Maalim) yangeliwekwa kwenye kapu moja unafikiri hali ingelikuwaje? Lingelirushwa jiwe moja tu pana lenye uzito mkubwa mayai yote yangelivunjika vunjika kwa urahisi.

Lakini Ccm wakiharibu kapu hili bado wenye mayai wana kapu jengine la akiba.
safi
 
Karibu!

Stay tuned!

Maalim Seif anasema uamuzi wa kuhamia ACT wazalendo haukuja ghafla bali ulikuwa ni mchakato.
Anasema walifanya mazungumzo na vyama vyote vya UKAWA ikiwemo Chadema na Nccr na kwote walikaribishwa ila ACT wazalendo walipata scores nyingi.

Kitu kikubwa kilichowavutia kwa ACT wazalendo ni uthabiti wa viongozi wao, malengo na dhamira zao pia rika la viongozi wao kwani ni vijana wenye nguvu.

Maalim Seif amesema wameenda ACT wazalendo kuimarisha nguvu ya upinzani na kamwe si kutafuta madaraka.

Maalim anasema watakusanya kadi zao zote za Cuf bendera pamoja na sare na watampa KC Zitto ili akamkabidhi Msajili wa vyama ambaye atajua pa kuzipeleka.

Cuf ina majengo matatu tu mengine yote ni mali za wanachama hivyo wana hiyari ya kubadili matumizi.
Lengo la ACT ni kushika dola hivyo amevitaka vyama vya upinzani kuungana ili kuitoa CCM madarakani.

Maalim Seif amemalizia kwa kusema lengo la msajili na serikali ilikuwa ni kummaliza kisiasa wakiamini wakishamnyang'anya Cuf basi atakimbilia Chadema ndio sababu walipigwa na butwaa waliposikia amejiunga na ACT wazalendo.

Ahsanteni
Maendeleo hayana vyama!
Karibu!

Stay tuned!

Maalim Seif anasema uamuzi wa kuhamia ACT wazalendo haukuja ghafla bali ulikuwa ni mchakato.
Anasema walifanya mazungumzo na vyama vyote vya UKAWA ikiwemo Chadema na Nccr na kwote walikaribishwa ila ACT wazalendo walipata scores nyingi.

Kitu kikubwa kilichowavutia kwa ACT wazalendo ni uthabiti wa viongozi wao, malengo na dhamira zao pia rika la viongozi wao kwani ni vijana wenye nguvu.

Maalim Seif amesema wameenda ACT wazalendo kuimarisha nguvu ya upinzani na kamwe si kutafuta madaraka.

Maalim anasema watakusanya kadi zao zote za Cuf bendera pamoja na sare na watampa KC Zitto ili akamkabidhi Msajili wa vyama ambaye atajua pa kuzipeleka.

Cuf ina majengo matatu tu mengine yote ni mali za wanachama hivyo wana hiyari ya kubadili matumizi.
Lengo la ACT ni kushika dola hivyo amevitaka vyama vya upinzani kuungana ili kuitoa CCM madarakani.

Maalim Seif amemalizia kwa kusema lengo la msajili na serikali ilikuwa ni kummaliza kisiasa wakiamini wakishamnyang'anya Cuf basi atakimbilia Chadema ndio sababu walipigwa na butwaa waliposikia amejiunga na ACT wazalendo.

Ahsanteni
Maendeleo hayana vyama!
huna jipya wewe na utaishia hivohivo kubwabwaja bwabwaja tu maneno, huna sera, huna kauli mpya mambo yako ni yaleyale mi naona ungestaafu tu umri tayari umesogea ubaki kuwa mwangalizi tu huwez kuwa rais hata siku moja.
 
huna jipya wewe na utaishia hivohivo kubwabwaja bwabwaja tu maneno, huna sera, huna kauli mpya mambo yako ni yaleyale mi naona ungestaafu tu umri tayari umesogea ubaki kuwa mwangalizi tu huwez kuwa rais hata siku moja.
Kwani amekuambia anataka urais?!
 
maalim Ni Member wa TISS.
Yupo kuuwadaa umma wa Wazanzibar.

Maalim yupo kufanya balance ya Wapemba na wa Unguja

jiulize,Ni majuzi maalim alikuwa Makamu wa 1 wa rais katika serikali ya Umoja wa Wazanzibar kipi aliwafanyia kutokana na yale "Malalamiko yake hewa"??

Makamu wa 1 wa rais Ni cheo Cha pili baada ya rais
je,alishindwa kutumia cheo na mamlaka yake??

Zanzibar itakombolewa lakini c na hawa mbwamwitu waliojivika ngozi ya kondoo type ya kina maalim

unaweza usinielewe
lakini kumbuka hata Jiwe hasingeropoka kuhusu u TISS wa Diwani athumani Yule DG wa Takukuru
Usingejua Wala kuelewa.

MAALIM YUPO KWA MATAKWA YA WENYE NCHI

Sent using Jamii Forums mobile app

Hata Adolph Hitler alikuwa memba wa Usalama Ujerumani, alipotumwa kule Nazi alibaki kulekule na kuchukua nchi..

Matendo ya CCM sio rafiki kwa Watanzania, Seif hakuzaliwa TISS alizaliwa Mtanzania na ndugu zake ni watanzania sio TISS..

Kauli mbiu ya leo, TANZANIA KWANZA TISS NA CCM BAADAYE..
 
Hakuna sehemu yoyote hapa duniani yenye uchaguzi huru na wa haki so mtasubiri sana!
Udanganyifu haushindi siku zote, Moi wa Kenya alidanganyaa weee but alishindwa siku moja, Mugabe alikuwa akishinda 90% Leo yuko wapi? Sembuse nyie wa 58% mbona tupo jirani sana very soon mtaonja machungu.
 
Back
Top Bottom