Live Clouds 360: January asema uongozi ni kujinyenyekeza siyo ukali na kutetemeshana

So what! kujinyenyekeza kuna kikomo - huwezi kuongoza watu wenye vichwa vibovu halafu ujinyenyekeze - A ibaki kuwa A, na Z iwe Z - tulihitaji rais mkali asiyejinyenyekeza kwa wezi wa madini - asiyejinyenyekeza kwa mafisadi - asiyejinyenyekeza kwa watumishi wasiowajibika - asiyejinyenyekeza kwa watoroshaji wa maliasili nk

Rais wetu anatosha na chenji inabaki!!!
Good! Kwenye baraza la mawaziri kuna waziri mmoja yeye kazi yake ni kukaa kimya tu, eti hiyo ndo busara yake. Mabomu yakiripuka yeye kimya! anahamishwa wizara. Kipindupindu kinaua yeye kimya! anarudishwa alikotoka yanaripuka tena yeye kimya!

Busara haipatikani kwa kukaa kimya. Haipatikani kwa kutofanyakazi au kusamehe wezi, kuruhusu vyeti vya kugushi, n.k
btw. anayetafuta busara ya wengine, yeye mwenyewe awe na busara.
 
Jana Nape kasikika Clouds 360 akimsifia Januari kama muasisi wa slogan ya "CCM mpya". Leo Januari anajinasibu kuwa yeye, Nape, Ruge na Diamond ndiyo wametengeneza hapa kazi tu. Kwa yote waliyofanya ni mema na bila shaka CCM iliwapa dhamana kufanya hivyo na kuna ujira walipata kwa kazi hiyo


Jana Nape kasikika Clouds 360 akimsifia Januari kama muasisi wa slogan ya "CCM mpya na Tanzania mpya". Japo kwa kumbukumbu zangu Tanzania mpya inakuja ilisikika kwa mara ya kwanza ikitamkwa na Askofu Gwajima katika mkutano mkuu wa kisisa wa chama fulani wakati huo Gwajima akiwa "mshenga".

Leo Januari nae yuko 360 anajinasibu kuwa yeye, Nape, Ruge na Diamond ndiyo wametengeneza hapa kazi tu. Kwa yote waliyofanya ni mema na bila shaka CCM iliwapa dhamana kufanya hivyo na kuna ujira walipata kwa kazi hiyo.

Pamoja na mema mengi ambayo huenda walifanya, ilikuwa ni wajibu wao kwenye CHAMA na kwa kuwa walikubaliana kidomkrasia kupita utaratibu wa CCM kumpa JPM bendera na brand ya "Hapa kazi tu", Ngosha kashapiga bao kwa kui-own kauli mbiu kwa vitendo na toka akiwa waziri alikuwa "a man who walks his talk"
Akina Nape na January wanatakiwa waendelee kusimama na flag barer wa HAPA KAZI TU mpaka 2025. Huyo ndiye Rais tulie nae na kwa kuwa wana-access nae, wamtefute na kushauriana nae kwa staha, bila shaka wataendelea na kufanya siasa.

Ila kwa haya ya kuja kwenye public na vijembe kwa Mgombe ambae wao walihusika kumnadi na sasa ashakuwa "baba", option kubwa mbele yao ni kuja Mume wa mama yako na "baba". Njia pekee ya ku-coexist nae ni kumheshimu na kushauriana nae kwa staha behind the curtains.

Masuala ya chumbani yakizungumzwa sebuleni na mtaani, watu wenye akili hujua mzungumzaji wa masuala ya chumbani anapungukiwa na busara
Aseee TANZANIA TUNA MLIMA MREFU KUFIKIA HATA WALIPO KENYA KIUCHUMI...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nijuavyo mimi ni kwamba CCM ilifungua kampeni bila ya kuwa na slogan zaidi ya ile ya chagua Magufuli chagua CCM. Mwanzo Ilikuwa chagua CCM chagua Kikwete. Slogan ya HAPA KAZI TU ilikuja baada ya mgombea mwenyewe Dr J P Magufuli katika hotuba zake kutamka. Ninanukuu "mimi si mwanasiasa hapa kazi tu. " Mwisho wa kunukuu. Sasa huyu bwana aliasisi vipi wakati slogan hiyo ilianza kutumika baada ya kutolewa na mgombea mwenyewe? Asijipe umaarufu usio wake. Labda kama ile hotuba aliiandika yeye..
Uko sahihi. Kuna watu wanadandia mafanikio. Mbona hawasemi ile ya maisha bora kwa kila mtanzania? au imechuja na hawamtaki tena muhusika? Hapa kazi tu ilitokana na maneno ya mgombea mwenyewe baada ya wenzake kutaka kuonyesha kwamba siyo mwanasiasa. Akajinadi kwa kusema hapa kazi tu! Hawa wanaojihusisha na maneno hayo labda waliitwa kufanya editing tu.

Btw. Makamba ni waziri. Atuonyeshe mafanikio ya uwaziri wake na siyo hizo slogan za chama. Wizarani amefanya nini cha kujivunia? Nilimsikia akifukuza fukuza watu baadaye kimyaaaa! Miaka inaenda hivyo, baadaye tuambiwe ana busara!
 
Ujumbe kwa mtu fulani
IMG-20190219-WA0016.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona sasa hukujibu maswali niliyoyaainisha hapo juu ?!. Ninachoona ni kuwa unajitetea kutetea upuuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
Bahati mbaya sikulelewa kwa mama wa kambo kama wewe hivyo situmii sana matusi kumuaminisha mtu!
Niambie ni nani unayeamini kuwa ataongoza kama malaika ili tumchambuwe vizuri
(i). Ulishajiuliza kwa nini Mbowe CDM amekaa kwenye madaraka miaka takribani 20 - huo si udikiteta?
(ii). Ulishajiuliza kwa nini James Mbatia NCCR amekaa kwenye uongozi kwa miaka takriban 20 - huo si udikiteta?
(iii). Ulishajiuliza kwa nini Lipumba CUF amekaa kwenye uongozi kwa miaka takriban 20 - huo si udikiteta?
(iv). Ulishajiuliza kwa nini Mrema TLP amekaa kwenye uongozi kwa miaka takriban 20 - huo si udikiteta?
(v). Ulishajiuliza kwa nini Edward Lowassa alihamia CDM bila vikao akakubaliwa kugombea urais - huo si udikiteta?

AU sifahamu dhana ya neno udikiteta?
 
Sasa hatukuzama - mlipokuwa na JK mlilaani sana na kusema kuwa anacheka sana - tumewaletea Rais wa kati (kicheko kidogo na ukali kidogo) bado mnalalamika - mnataka kiongozi wa namna ipi?
(i). Nchi ya kidikiteta mtu kama wewe hawapati nafasi ya kuishambulia Serikali;
MAGUFULI ANA KURUPUKA HANA UWEZO WA KUFIKIRI KWA KINA...
ANA MATATIZO KATIKA MAONO YA MBELE... NDIO MAANA AMESHINDWA KATIKA KILA SERA ZAKE...
KOROSHO
MADINI
ELIMU BURE
NK

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nijuavyo mimi ni kwamba CCM ilifungua kampeni bila ya kuwa na slogan zaidi ya ile ya chagua Magufuli chagua CCM. Mwanzo Ilikuwa chagua CCM chagua Kikwete. Slogan ya HAPA KAZI TU ilikuja baada ya mgombea mwenyewe Dr J P Magufuli katika hotuba zake kutamka. Ninanukuu "mimi si mwanasiasa hapa kazi tu. " Mwisho wa kunukuu. Sasa huyu bwana aliasisi vipi wakati slogan hiyo ilianza kutumika baada ya kutolewa na mgombea mwenyewe? Asijipe umaarufu usio wake. Labda kama ile hotuba aliiandika yeye..
Daah! Wewe na Makamba Nani anayejua zaidi hii kitu unayoongea?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hatukuzama - mlipokuwa na JK mlilaani sana na kusema kuwa anacheka sana - tumewaletea Rais wa kati (kicheko kidogo na ukali kidogo) bado mnalalamika - mnataka kiongozi wa namna ipi?
(i). Nchi ya kidikiteta mtu kama wewe hawapati nafasi ya kuishambulia Serikali;
Mkuu kusema ukweli mpaka sasa hivi watanzania hua hatujui tunataka nini,
Nakumbuka wakati wa awamu ya pili ya raisi Kikwete alivyoenda kwenye ufunguzi wa bunge watu walitoka bungeni na kudai kua hawamtambui, ila baada ya kumaliza muda wake wa uongozi siku ile alivyoenda kulitembelea bunge watu haohao waliodai kua hawamtambui ndio walikua wa kwanza kumshangilia na kujidai kua wamemmisi.
Yaani ki ukweli kabisa watanzania hua hatujielewi nini tunataka na nini hatutaki.

Maendeleo hayana chama
 
Daah! Wewe na Makamba Nani anayejua zaidi hii kitu unayoongea?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kuwapima hawa kwa kipimo kimoja
(i). huyu ni waziri atapimwa kwa uwaziri
(ii). huyu ni raia atapimwa kwa uraia wake - mwisho wa siku utapata amjibu kwamba uongozi ni ndoto - ndoto hutofautiana kutoka mtu mmoja kwenda mtu mwingine - ninyi wote ni wazuri mkipata nafasi za kuhudumu
 
Mkuu kusema ukweli mpaka sasa hivi watanzania hua haujui tunataka nini,
Nakumbuka wakati wa awamu ya pili ya raisi Kikwete alivyoenda kwenye ufunguzi wa bunge watu walitoka bungeni na kudai kua hawamtambui, ila baada ya kumaliza muda wake wa uongozi siku ile alivyoenda kulitembelea bunge watu haohao waliodai kua hawamtambui ndio walikua wa kwanza kumshangilia na kujidai kua wamemmisi.
Yaani ki ukweli kabisa watanzania hua hatujielewi nini tunataka na nini hatutaki.

Maendeleo hayana chama
(V)
Watu wanasumbuka sana na itikadi za kivyama za milengo ya kulia au kushoto - hata aje kiongozi wa namna gani hawatamkubali - wanaendelea kukubali viongozi wao mamwinyi wa kung'ang'ania uenyekiti kwa robo karne nk

JPM anatosha na chenji inabaki
 
Nimeona sasa kwanini huwezi kujibu hata swali langu moja. Mimi naomba nikujibu hivi
1. Huwezi kutaka katiba ya vyama viwe democrat wakati katiba mama ya nchi haiko hivyo !!!! Katiba ya mama ya nchi imeendekeza elements za ki dictator na za kikoloni. Hivyo katiba za taasisi ndogo kama vyama haviwezi kuwa tofauti.

Na kuhusu Lowassa kuhamia upinzani na kupewa kupeperusha bendera yao. Ungejifunza kwanza ni kwanini CCM inapokea wabunge wa upinzani na kuwapitisha bila vikao ?!. Na wana CCM hawawezi kuhoji chochote
Bahati mbaya sikulelewa kwa mama wa kambo kama wewe hivyo situmii sana matusi kumuaminisha mtu!
Niambie ni nani unayeamini kuwa ataongoza kama malaika ili tumchambuwe vizuri
(i). Ulishajiuliza kwa nini Mbowe CDM amekaa kwenye madaraka miaka takribani 20 - huo si udikiteta?
(ii). Ulishajiuliza kwa nini James Mbatia NCCR amekaa kwenye uongozi kwa miaka takriban 20 - huo si udikiteta?
(iii). Ulishajiuliza kwa nini Lipumba CUF amekaa kwenye uongozi kwa miaka takriban 20 - huo si udikiteta?
(iv). Ulishajiuliza kwa nini Mrema TLP amekaa kwenye uongozi kwa miaka takriban 20 - huo si udikiteta?
(v). Ulishajiuliza kwa nini Edward Lowassa alihamia CDM bila vikao akakubaliwa kugombea urais - huo si udikiteta?

AU sifahamu dhana ya neno udikiteta?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HII NI HATARI SANA YANI HUKU NAPE KULE NI MAKAMBA YANI HAWA NDIO WANA CCM VINDOKI NDOKI BALAA HUMPHREY POLEPOLE NA CYPRIAN MUSIBA KAENI MKAO WA KULIW PILAU.NA NASIKIA HAWA JAMAA MUDA SIO MREFU WANAANZA KULIAMSHA DUDE KUELEKEA 2020 ELECTION NDANI YA CHAMA YALE YA BKM NI CHA MTOTO

NAPE+MAKAMBA+MWIGULU+BKM=KAZI NA BATA
Nasikia hawa Jamaa + Hussein Bashe wanampango fulani. Kabla ya hata 2020.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom