Badilisha heading isomeke hiv,Sugu Komba ndani ya TBC.Manake ukisema wanahojiwa inaleta maana nyingine.
Wanasemaje wakuu
Mpasho umetoka kwa mtoa thread. Ulichoona ni Komba haenei kwenye kiti? Badala ya kuongelea anachosema Sugu, unaongelea mambo yasiyo na msingi kwetu!