Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,446
- 2,490
mimi nimesikia hivi
kuunganisha umeme wa single face kwa umbali wa nguzo moja ni 337000 kwa vijijini na 454000 kwa mijini
kwa umbali wa nguzo 2 kwa single face vijijini ni 515000 na mijini 696000
bei hizi zitaanza january 2013 bila ubishi wowote.
kuunganisha umeme wa single face kwa umbali wa nguzo moja ni 337000 kwa vijijini na 454000 kwa mijini
kwa umbali wa nguzo 2 kwa single face vijijini ni 515000 na mijini 696000
bei hizi zitaanza january 2013 bila ubishi wowote.
Gharama ya kuunganishiwa umeme yashuka... vijijini imeshuka kwa asilimia 60 na mjini imeshuka kwa >20%!
Sasa ni 177000 kwa vijijini na 340000+ kwa mijini..
Source: waziri mhongo bungeni live now