Live bungeni Dodoma: Waziri wa fedha, William Mgimwa anawasilisha bajeti ya serikali 2013/2014

Kinachoendelea kwa sasa ni kureview mafanikio na changamoto kwa mwaka wa fedha unaomalizika
 
Anasema kuwa wizara imeanza pensheni ya miezi mitatu mitatu kuanzia januari 2012
 
Anasema kuwa tanzania kwa sasa kuna wastaafu 136300 ambao idadi yao inapatikana kwenye daftari la wastaafu wanaostahili kulipwa pensheni
 
anasema kuwa kiwango cha deni la taifa ni kidogo ukilinganisha na ukuaji wa pato la taifa. Kwamba uwezo wa nchi kulipa deni hilo ni mkubwa kuliko ukuaji wa deni
siasa hizo. Kama ndivyo kwa nini deni hilo halipungui bali kinyume chake???
 
Anawasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya WIZARA YAKE YA FEDHA, siyo ya SERIKALI. Bajeti ya serikali itasomwa kama kawaida alhamisi wiki ijayo kwa pamoja na nchi nyi ngine za Afrika Mashariki
Mkuu, kwa uelewa wangu ni kuwa hakuna bajeti ya wizara ya fedha.
 
Hii ni bajeti ya wizara ya fedha na c bajeti ya serikali. Tusubiri bajeti kivuli tuone wanashauri nn na kukosoa nn. Hatutaki matusi tena.
 
Ona sasa..Usikurupuke kupost kitu bila utafiti wa kina...hiyo ni bajeti ya wizara ya fedha, bajeti kuu ya serikali itafuata baada ya kuisha wizara zote na nadhani hii wizara ni ya mwisho.
 
Anawasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya WIZARA YAKE YA FEDHA, siyo ya SERIKALI. Bajeti ya serikali itasomwa kama kawaida alhamisi wiki ijayo kwa pamoja na nchi nyi ngine za Afrika Mashariki
Pamoja sana mkuu. Hata bajeti ya wizara ya fedha ni bajeti ya serikali pia
 
Ona sasa..Usikurupuke kupost kitu bila utafiti wa kina...hiyo ni bajeti ya wizara ya fedha, bajeti kuu ya serikali itafuata baada ya kuisha wizara zote na nadhani hii wizara ni ya mwisho.
Kwani kuna sehemu nimeandika kuwa hii ni bajeti kuu ya serikali? Nimesema kuwa waziri mgimwa anawasilisha bajeti ya serikali sema tu sikumalizia ni wizara gani. Ila kumradhi kwa wale waliokwazika
 
Back
Top Bottom