UmtwaAlumbwagwe
Member
- May 24, 2012
- 54
- 10
Kati ya mambo mengi yaliyoelezwa ni pamoja na 1. IDADI YA MAWAZIRI WASIOZIDI 15. 2. TANZANIA BARA KUWA NAMAJIMBO YA UCHAGUZI 25 TU kila JIMBO WABUNGE (2)WAWLI. 3. BUNGE LA MUUNGANO LIWE NA WABUNGE 75 (Toka Zanzibar 20, bara 50, na wawakilishi wa makundi maalum watano )