Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,277
- 4,683
Mngekuwa makini msingemleta fisadi kugombea uraisMACCM yamegundua kwamba UKAWA kuna watu makini mno na hivyo hawawezi kuwashinda kwa hoja ndani na nje ya Bunge. Hivyo wakaamua kuja na mkakati wa kubaka demokrasi na kutumia polisi ili kuwawezesha kukamilisha ubakaji wao wa demokrasi. Siku vyombo vya dola vikigoma kuikingia kifua CCM katika ubakaji wake wa demokrasi nchini siku hiyo ndiyo CCM itazikwa rasmi nchini. Naomba tu siku hiyo isiwe mbali sana ili Watanzania tuondokane na hawa wahuni, wezi, mafisadi, majangili, wakwapuzi wa mashirika ya umma, wapokea rushwa, wakwapuzi wa nyumba za Serikali n.k.