Uchaguzi 2020 Litakuwa ni kosa kubwa kwa Arusha kurudishwa mikononi mwa CCM, msisahau historia ya miaka ya 2010 na kurudi nyuma

Nkobe

JF-Expert Member
Feb 17, 2013
2,162
3,162
Ni dhahiri kuwa Arusha ni mkoa wa kitalii Tanzania, kwa vivutio vilivyopo Arusha bila shaka Africa nzima hakuna jiji lenye vivutio vingi kama Arusha. Arusha ina vivutio vifuatavyo kwa ukaribu; Tarangire, Lake Manyara, Arusha National Park, Ngorongoro na Serengeti, Oldonyo Lengai, Olvai Godge nk, lakini Arusha ina utajiri wa makabila yaliyotunza utamaduni ambao ni kivutio cha utalii wakiwemo Wamasai, Wabarbaig, Wahadzabe nk

Hadi mwaka 2010 Arusha haikuwa na hadhi kuwa mkoa unaopokea watalii kutoka kila kona ya dunia, ingawa hadi sasa bado hairidhishi lakini angalau vumbi limetoweka. Arusha mitaa ilikuwa vumbi, huduma ya maji ilikuwa ya shida. Sababu kubwa ya kuifanya Arusha iwe vibaya kimiundombinu ni kutokana na genge la wana CCM ambao wakati ule walikuwa wamekamata Halmashauri, kuanzia Mbunge hadi madiwani.

Mwaka 2011 baada ya upepo kugeuka na kuingia CHADEMA wakiongozwa na Mbunge Godbless Lema, Arusha ilishuhudia ujenzi na ukarabati wa miundo mbinu na kufanya angalau mitaa mingi kuwa na kiwango cha lami. Lakini ilishuhudiwa usambazaji wa maji wa kasi zaidi.

Kwa mujibu wa taarifa za uhakika, uwepo wa CHADEMA ndani ya Halmashauri uliwafanya wezi waliokuwa wamejificha kwenye mwavuli wa CCM kupoteana, hivyo kusababisha mapato yatumike kwa usahihi.

Hivyo, itakuwa ni kosa kubwa kwa wana Arusha kuirudisha Arusha mikononi mwa CCM tena, ni vyema kuisoma historia kabla ya kufanya maamuzi.
 
Lema namkubali na Gambo namkubali pia lakini John Pombe Magufuli ndani ya CCM ndio mpango mzima na kwa maana hiyo CCM watachukua jimbo chini ya Gambo

Ukiwa na tochi inayotumia betri3 inabidi uweke betri3 zenye uwezo unaotakiwa kweli, ukisema uweke betri2 na gunzi katikati hiyo tochi haitafanya kazi - jpm
 
Ni dhahiri kuwa Arusha ni mkoa wa kitalii Tanzania, kwa vivutio vilivyopo Arusha bila shaka Africa nzima hakuna jiji lenye vivutio vingi kama Arusha. Arusha ina vivutio vifuatavyo kwa ukaribu; Tarangire, Lake Manyara, Arusha National Park, Ngorongoro na Serengeti, Oldonyo Lengai, Olvai Godge nk, lakini Arusha ina utajiri wa makabila yaliyotunza utamaduni ambao ni kivutio cha utalii wakiwemo Wamasai, Wabarbaig, Wahadzabe nk

Hadi mwaka 2010 Arusha haikuwa na hadhi kuwa mkoa unaopokea watalii kutoka kila kona ya dunia, ingawa hadi sasa bado hairidhishi lakini angalau vumbi limetoweka. Arusha mitaa ilikuwa vumbi, huduma ya maji ilikuwa ya shida. Sababu kubwa ya kuifanya Arusha iwe vibaya kimiundombinu ni kutokana na genge la wana CCM ambao wakati ule walikuwa wamekamata Halmashauri, kuanzia Mbunge hadi madiwani.

Mwaka 2011 baada ya upepo kugeuka na kuingia CHADEMA wakiongozwa na Mbunge Godbless Lema, Arusha ilishuhudia ujenzi na ukarabati wa miundo mbinu na kufanya angalau mitaa mingi kuwa na kiwango cha lami. Lakini ilishuhudiwa usambazaji wa maji wa kasi zaidi.

Kwa mujibu wa taarifa za uhakika, uwepo wa CHADEMA ndani ya Halmashauri uliwafanya wezi waliokuwa wamejificha kwenye mwavuli wa CCM kupoteana, hivyo kusababisha mapato yatumike kwa usahihi.

Hivyo, itakuwa ni kosa kubwa kwa wana Arusha kuirudisha Arusha mikononi mwa CCM tena, ni vyema kuisoma historia kabla ya kufanya maamuzi.
Usitufanye wajinga, Tafuta sababu nyingine ya kutetea hoja, barabara zinajengwa na serikali kupitia mradi wa TSCP, na si Arusha pekee, nenda tanga, Mbeya, dodoma, mwanza. Nk
 
Mnaota mchana kweupe hivi Mrisho Gambo anaweza kumtoa Godbless Lema Arusha kweli lol.Kwa Arusha kwenda CCM chini ya mhuni huyu aitwae Mrisho Gambo hata sijui anatokea Mkoa gani ni ndoto za mchana kweupe
 
Ni dhahiri kuwa Arusha ni mkoa wa kitalii Tanzania, kwa vivutio vilivyopo Arusha bila shaka Africa nzima hakuna jiji lenye vivutio vingi kama Arusha. Arusha ina vivutio vifuatavyo kwa ukaribu; Tarangire, Lake Manyara, Arusha National Park, Ngorongoro na Serengeti, Oldonyo Lengai, Olvai Godge nk, lakini Arusha ina utajiri wa makabila yaliyotunza utamaduni ambao ni kivutio cha utalii wakiwemo Wamasai, Wabarbaig, Wahadzabe nk

Hadi mwaka 2010 Arusha haikuwa na hadhi kuwa mkoa unaopokea watalii kutoka kila kona ya dunia, ingawa hadi sasa bado hairidhishi lakini angalau vumbi limetoweka. Arusha mitaa ilikuwa vumbi, huduma ya maji ilikuwa ya shida. Sababu kubwa ya kuifanya Arusha iwe vibaya kimiundombinu ni kutokana na genge la wana CCM ambao wakati ule walikuwa wamekamata Halmashauri, kuanzia Mbunge hadi madiwani.

Mwaka 2011 baada ya upepo kugeuka na kuingia CHADEMA wakiongozwa na Mbunge Godbless Lema, Arusha ilishuhudia ujenzi na ukarabati wa miundo mbinu na kufanya angalau mitaa mingi kuwa na kiwango cha lami. Lakini ilishuhudiwa usambazaji wa maji wa kasi zaidi.

Kwa mujibu wa taarifa za uhakika, uwepo wa CHADEMA ndani ya Halmashauri uliwafanya wezi waliokuwa wamejificha kwenye mwavuli wa CCM kupoteana, hivyo kusababisha mapato yatumike kwa usahihi.

Hivyo, itakuwa ni kosa kubwa kwa wana Arusha kuirudisha Arusha mikononi mwa CCM tena, ni vyema kuisoma historia kabla ya kufanya maamuzi.


Ikumbukwe kwamba Gambo na ccm wamekuwa wakihujumu kwa makusudi juhudi za Lema na Upinzani ili asifanye kazi ipasavyo kwa lengo la kumdhoofisha ili waseme hajafanya kazi. Huu ni zaidi ya ushetani.

Kumbukeni ule mradi wa Maternity Hospital Gambo na wenzake walivyofanya.

Kumbukeni mlikuwa mpate mradi mkubwa wa maji salama yaani muwe mnachota na kunywa bila kuchemsha hata stand ambao carista lazaro anajua na mkurgenzi wahalmshauir ambaye ni ccm aliukataa kisa tu umepitia kwa Halmshauri iliyokuwa na caristor lazoaro akiwa chadema.

Hawa watu ni zaidi ya wanyama. Arusha msichanganywe. CHADEMA ndo mkombozi wenu. Hawa wengine wangewajali na kuwapenda wasingekwamisha miradi ambayo ilikuwa ni kwa maslahi yanu mapana. Hawana uchungu na niyi ila wanataka kuwatumia tu.

Jiangalieni sana msidanganywe msije mkajuta.
 
Daaah.! Kwahiyo Kati ya serikali ya CCM na CHADEMA ipi ndiyo ilileta mafanikio hayo.?

Unataka kusema chadema ndio inapanga bajeti sio.?
Jaribu kuweka swali lako kiakili zaidi maana sidhani kama hata wewe umeelewa ulicho uliza
 
Ni dhahiri kuwa Arusha ni mkoa wa kitalii Tanzania, kwa vivutio vilivyopo Arusha bila shaka Africa nzima hakuna jiji lenye vivutio vingi kama Arusha. Arusha ina vivutio vifuatavyo kwa ukaribu; Tarangire, Lake Manyara, Arusha National Park, Ngorongoro na Serengeti, Oldonyo Lengai, Olvai Godge nk, lakini Arusha ina utajiri wa makabila yaliyotunza utamaduni ambao ni kivutio cha utalii wakiwemo Wamasai, Wabarbaig, Wahadzabe nk

Hadi mwaka 2010 Arusha haikuwa na hadhi kuwa mkoa unaopokea watalii kutoka kila kona ya dunia, ingawa hadi sasa bado hairidhishi lakini angalau vumbi limetoweka. Arusha mitaa ilikuwa vumbi, huduma ya maji ilikuwa ya shida. Sababu kubwa ya kuifanya Arusha iwe vibaya kimiundombinu ni kutokana na genge la wana CCM ambao wakati ule walikuwa wamekamata Halmashauri, kuanzia Mbunge hadi madiwani.

Mwaka 2011 baada ya upepo kugeuka na kuingia CHADEMA wakiongozwa na Mbunge Godbless Lema, Arusha ilishuhudia ujenzi na ukarabati wa miundo mbinu na kufanya angalau mitaa mingi kuwa na kiwango cha lami. Lakini ilishuhudiwa usambazaji wa maji wa kasi zaidi.

Kwa mujibu wa taarifa za uhakika, uwepo wa CHADEMA ndani ya Halmashauri uliwafanya wezi waliokuwa wamejificha kwenye mwavuli wa CCM kupoteana, hivyo kusababisha mapato yatumike kwa usahihi.

Hivyo, itakuwa ni kosa kubwa kwa wana Arusha kuirudisha Arusha mikononi mwa CCM tena, ni vyema kuisoma historia kabla ya kufanya maamuzi.
Hayo yote unayoyasema yameletwa na serikari ya ccm! Lema alikuwa anapinga maendeleo na maandamano yasioisha! Katuchelewa sana! Mwaka huu tunaenda na Gambo Arusha tupae
 
Mnaota mchana kweupe hivi Mrisho Gambo anaweza kumtoa Godbless Lema Arusha kweli lol.Kwa Arusha kwenda CCM chini ya mhuni huyu aitwae Mrisho Gambo hata sijui anatokea Mkoa gani ni ndoto za mchana kweupe
Ila hatuwezi kukataa ukweli John Pombe Magufuli amekua kiongozi bora sana na anahitaji watu wa kufanya nae kazi kwa ilani ya chama chake.
God Bless Lema anapendwa na watu, ana karama ya kuongea, kusikiliza na kusikilizwa ila chama chake kina viongozi waliokosa uzalendo, wasiokua na maadili na wasiojua mila na desturi za kitanzania
 
Ni dhahiri kuwa Arusha ni mkoa wa kitalii Tanzania, kwa vivutio vilivyopo Arusha bila shaka Africa nzima hakuna jiji lenye vivutio vingi kama Arusha. Arusha ina vivutio vifuatavyo kwa ukaribu; Tarangire, Lake Manyara, Arusha National Park, Ngorongoro na Serengeti, Oldonyo Lengai, Olvai Godge nk, lakini Arusha ina utajiri wa makabila yaliyotunza utamaduni ambao ni kivutio cha utalii wakiwemo Wamasai, Wabarbaig, Wahadzabe nk

Hadi mwaka 2010 Arusha haikuwa na hadhi kuwa mkoa unaopokea watalii kutoka kila kona ya dunia, ingawa hadi sasa bado hairidhishi lakini angalau vumbi limetoweka. Arusha mitaa ilikuwa vumbi, huduma ya maji ilikuwa ya shida. Sababu kubwa ya kuifanya Arusha iwe vibaya kimiundombinu ni kutokana na genge la wana CCM ambao wakati ule walikuwa wamekamata Halmashauri, kuanzia Mbunge hadi madiwani.

Mwaka 2011 baada ya upepo kugeuka na kuingia CHADEMA wakiongozwa na Mbunge Godbless Lema, Arusha ilishuhudia ujenzi na ukarabati wa miundo mbinu na kufanya angalau mitaa mingi kuwa na kiwango cha lami. Lakini ilishuhudiwa usambazaji wa maji wa kasi zaidi.

Kwa mujibu wa taarifa za uhakika, uwepo wa CHADEMA ndani ya Halmashauri uliwafanya wezi waliokuwa wamejificha kwenye mwavuli wa CCM kupoteana, hivyo kusababisha mapato yatumike kwa usahihi.

Hivyo, itakuwa ni kosa kubwa kwa wana Arusha kuirudisha Arusha mikononi mwa CCM tena, ni vyema kuisoma historia kabla ya kufanya maamuzi.
Chadema wamefanya nini Arusha?. Wametekeleza maendeleo gani kwa mfano?. Ni wakati wetu wana Arusha, kuiweka CCM kwenye ramani tena. Lema lazima akae bench. Enough is enough.
 
Hali ikoje Lema vs Gambo?
Gambo anahali mbaya sasa hivi akisikia kuna msiba mahali anaenda fasta ili asaidie kuchimba kaburi,kupika,kupasua kuni,kuosha vyombo.
Yani hata tofauti na zuzu alizoea ubabe na kupita na msafara akiwa Rc
 
Ila hatuwezi kukataa ukweli John Pombe Magufuli amekua kiongozi bora sana na anahitaji watu wa kufanya nae kazi kwa ilani ya chama chake.
God Bless Lema anapendwa na watu, ana karama ya kuongea, kusikiliza na kusikilizwa ila chama chake kina viongozi waliokosa uzalendo, wasiokua na maadili na wasiojua mila na desturi za kitanzania
Viongozi wake waliokosa uzalendo ndio wanajenga airport kijijini kwao?njoo na hoja zenye mashiko mama D
 
Viongozi wake waliokosa uzalendo ndio wanajenga airport kijijini kwao?njoo na hoja zenye mashiko mama D
Unasema kwao ukimaanisha nini?
Wewe uliwahi kwenda sehemu yoyote Tanzania ukataka kuishi ukazuiwa kwa kigezo sio kwenu?
 
Lema namkubali na Gambo namkubali pia lakini John Pombe Magufuli ndani ya CCM ndio mpango mzima na kwa maana hiyo CCM watachukua jimbo chini ya Gambo

Ukiwa na tochi inayotumia betri3 inabidi uweke betri3 zenye uwezo unaotakiwa kweli, ukisema uweke betri2 na gunzi katikati hiyo tochi haitafanya kazi - jpm
Hayo ni mawazo yake haina maana kuyabeba mawazo ya mwingine na kuyatumia, ni kujidhalilisha kifikra.

Arusha ilikuwepo kabla Magufuli hajazaliwa, na maendeleo yataendelea kuwepo hata baada ya Magufuli kupotea, kwasasa Arusha ni Chadema hilo halina mjadala, kama unabisha muangalie huyo Gambo mikutano yake ya kampeni sijui huwa anaifanyia vichochoro gani hata haonekani.
 
Back
Top Bottom