Lisu atarudisha itikadi/Imani ya watu kwa CHADEMA. CHADEMA mpeni uenyekiti.

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Mar 24, 2018
27,340
65,830
LISU ATARUDISHA ITIKADI/IMANI YA WATU KWA CHADEMA. CHADEMA MPENI UENYEKITI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Watanzania ni watu ambao huwaamini kama wanaweza kuishi bila kuonewa. Bila kutetemekea watawala. Bila kuwa machawa wa wenye navyo.

Watanzania wengi huamini kuonewa, kudhulumiwa na Wakubwa ni HAKI yao.
Watanzania wengi wamejenga kasumba kuwa ukiwa na cheo unahaki ya kufanya chochote kwa wasionavyo.

Watanzania wengi ni conservative au tuseme wamedumaa na hawahitaji mabadiliko mazuri zaidi.

Watanzania wengi hawamaani katika utu, HAKI, ndio maana hawawezi kupigania HAKI Zao hata kwa kusema tuu.

Watanzania ndio watu pekee ambao hata wewe hapo unaweza jifanya Usalama wa taifa ukaenda kijiwe chochote ukamchukua mtu yeyote au ukampiga makofi mtu kwa kisingizio cha Usalama wa taifa na Watanzania wakakuangalia tuu

Watanzania wengi ndio watu pekee ambao unaweza kuwaweka benchi wakasugua wakisubiri huduma ya hospital au huduma yoyote na wasiwe kuhoji.

Tundu Antipas Lisu tunamhitaji kwa wakati huu ili kubusti akili za Watanzania. Kuamsha Ari.
Kung'arisha fikra,
Kuchochea Moyo wa kupenda haki na kuipigania.

Kuufanya ukweli uwe mwamvuli wa wananchi.

Kuondoa uchawa na Tabia mbaya za kujipendekeza.
Moja ya dalili ya ukosefu wa HAKI katika jamii ni uchawa na kujipendekeza.
Uchawa na HAKI havikai pamoja.
Uchawa na ukweli havikai pamoja.

Mtu yeyote anayejitambulisha na kujionyesha. kama Chawa hawezi kuwa mtenda HAKI.

LISU atarejesha imani ya watu kwenye vyama vya upinzani. Kama ilivyokuwa 2010-2015.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Dar es salaam
 
LISU ATARUDISHA ITIKADI/IMANI YA WATU KWA CHADEMA. CHADEMA MPENI UENYEKITI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Watanzania ni watu ambao huwaamini kama wanaweza kuishi bila kuonewa. Bila kutetemekea watawala. Bila kuwa machawa wa wenye navyo.

Watanzania wengi huamini kuonewa, kudhulumiwa na Wakubwa ni HAKI yao.
Watanzania wengi wamejenga kasumba kuwa ukiwa na cheo unahaki ya kufanya chochote kwa wasionavyo.

Watanzania wengi ni conservative au tuseme wamedumaa na hawahitaji mabadiliko mazuri zaidi.

Watanzania wengi hawamaani katika utu, HAKI, ndio maana hawawezi kupigania HAKI Zao hata kwa kusema tuu.

Watanzania ndio watu pekee ambao hata wewe hapo unaweza jifanya Usalama wa taifa ukaenda kijiwe chochote ukamchukua mtu yeyote au ukampiga makofi mtu kwa kisingizio cha Usalama wa taifa na Watanzania wakakuangalia tuu

Watanzania wengi ndio watu pekee ambao unaweza kuwaweka benchi wakasugua wakisubiri huduma ya hospital au huduma yoyote na wasiwe kuhoji.

Tundu Antipas Lisu tunamhitaji kwa wakati huu ili kubusti akili za Watanzania. Kuamsha Ari.
Kung'arisha fikra,
Kuchochea Moyo wa kupenda haki na kuipigania.

Kuufanya ukweli uwe mwamvuli wa wananchi.

Kuondoa uchawa na Tabia mbaya za kujipendekeza.
Moja ya dalili ya ukosefu wa HAKI katika jamii ni uchawa na kujipendekeza.
Uchawa na HAKI havikai pamoja.
Uchawa na ukweli havikai pamoja.

Mtu yeyote anayejitambulisha na kujionyesha. kama Chawa hawezi kuwa mtenda HAKI.

LISU atarejesha imani ya watu kwenye vyama vya upinzani. Kama ilivyokuwa 2010-2015.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Dar es salaam
Naunga mkono hoja, ila asigombee
Urais 2025 Kuelekea 2025 - Kama CCM Itamsimamisha Rais Samia 2025, Mnaonaje Freeman Mbowe Awe Mgombea wa Upinzani? Atapiga Ndege 3 kwa Jiwe Moja, Atavuna Wabunge Wengi ila...
P
 
Lissu ni adui wa demokrasia na kirusi ndani ya chama rafiki CHADEMA. Sisi wanaCCM tunasikitishwa na vurugu zinazofanywa na Lissu. Mbowe awe tu mtulivu atashinda hii vita.

Mtu anayependa ukweli na kuufanya hawezi kuwa adui wa demokrasia.
Demokrasia ni kukubali nguvu ya ukweli

Mbowe ni kiongozi mzuri lakini sio katika mazingira ya sasa ya taifa lililokumbwa na uchawa, kujipendelea, umungumeza, na usultani
 
Lissu ni adui wa demokrasia na kirusi ndani ya chama rafiki CHADEMA. Sisi wanaCCM tunasikitishwa na vurugu zinazofanywa na Lissu. Mbowe awe tu mtulivu atashinda hii vita.
Haa😄😄haa...

Wewe MamaSamia2025 uko serious kweli...?

Mmemnanga sana Freeman Mbowe kuwa mng'ang'ania madaraka...

Wengine wakasema CHADEMA hakuna succession plan ktk mfumo wa uongozi wao...

Leo Freeman Mbowe anataka kumwachia Tundu Lissu, wewe ukiwa unawakilisha Chawa na wana CCM wenzako unaonesha kumpenda na kumhurumia tena? Really...?

Hakuna shaka kuwa kelele za Chawa wa CCM na allies wao waliomo ndani ya CHADEMA kwenyewe, the whole plan ilikuwa ni ku - frustrate Freeman Mbowe, ajione hafai, wanachama wamwone hafai, mla ruzuku za chama tu, aondoke kisha CCM na serikali yake waweke pandikizi na iwe mwanzo wa kudhoofika kisha kufa au kulala kwa CHADEMA....

The plan has failed spectacularly. Tundu Lissu ndiye Mwenyekiti wa CHADEMA....

Kuibuka kwa Tundu Lissu (ambaye obvious atashinda uenyekiti akigombea na yeyote hata kama Samia atahamia CHADEMA na kugombea naye), hili limewashitua CCM kwa sababu huyu mtu ni moto zaidi kuliko Freeman Mbowe...

Kila la kheri CHADEMA na kila la kheri Tundu Lissu. Tunakujua wewe ni mtu makini, mwenye msimamo usiyeyumbishwa, mpenda haki, mchukia rushwa na ufisadi, mwadilifu na mtu mwenye ufahamu na maarifa mengi sana ambayo ni silaha muhimu sana ktk ulimwengu wa uovu na uonevu huu tuishio...
 
LISU ATARUDISHA ITIKADI/IMANI YA WATU KWA CHADEMA. CHADEMA MPENI UENYEKITI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Watanzania ni watu ambao huwaamini kama wanaweza kuishi bila kuonewa. Bila kutetemekea watawala. Bila kuwa machawa wa wenye navyo.

Watanzania wengi huamini kuonewa, kudhulumiwa na Wakubwa ni HAKI yao.
Watanzania wengi wamejenga kasumba kuwa ukiwa na cheo unahaki ya kufanya chochote kwa wasionavyo.

Watanzania wengi ni conservative au tuseme wamedumaa na hawahitaji mabadiliko mazuri zaidi.

Watanzania wengi hawamaani katika utu, HAKI, ndio maana hawawezi kupigania HAKI Zao hata kwa kusema tuu.

Watanzania ndio watu pekee ambao hata wewe hapo unaweza jifanya Usalama wa taifa ukaenda kijiwe chochote ukamchukua mtu yeyote au ukampiga makofi mtu kwa kisingizio cha Usalama wa taifa na Watanzania wakakuangalia tuu

Watanzania wengi ndio watu pekee ambao unaweza kuwaweka benchi wakasugua wakisubiri huduma ya hospital au huduma yoyote na wasiwe kuhoji.

Tundu Antipas Lisu tunamhitaji kwa wakati huu ili kubusti akili za Watanzania. Kuamsha Ari.
Kung'arisha fikra,
Kuchochea Moyo wa kupenda haki na kuipigania.

Kuufanya ukweli uwe mwamvuli wa wananchi.

Kuondoa uchawa na Tabia mbaya za kujipendekeza.
Moja ya dalili ya ukosefu wa HAKI katika jamii ni uchawa na kujipendekeza.
Uchawa na HAKI havikai pamoja.
Uchawa na ukweli havikai pamoja.

Mtu yeyote anayejitambulisha na kujionyesha. kama Chawa hawezi kuwa mtenda HAKI.

LISU atarejesha imani ya watu kwenye vyama vya upinzani. Kama ilivyokuwa 2010-2015.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Dar es salaam
Tunataka Chadema imara, Tunataka upinzani ambao uko tayari kwa lolote. Nchi imekua kama ya watu flani. Tumechoka , Bora tuchome pori Kila Nyoka atafute shimo
 
Lissu ni adui wa demokrasia na kirusi ndani ya chama rafiki CHADEMA. Sisi wanaCCM tunasikitishwa na vurugu zinazofanywa na Lissu. Mbowe awe tu mtulivu atashinda hii vita.
Maccm mnaonyesha kumuogopa sana Lissu, ni nyie siku zote mumesema Mbowe hataki kuachia madaraka ghafla tena mko upande wa Mbowe, sasa imekula kwenu Mbowe mwenyewe atampa kura yake Lissu, ni habari ngeni masikioni mwenu lakini habari ndiyo hiyo fitna zenu mlizokuwa mnaimba majukwani zimegonga mwamba. Tunawaletea vyuma hivyo Tundu Lissu Mwenyekiti na John Heche Katibu Mkuu.
 
LISU ATARUDISHA ITIKADI/IMANI YA WATU KWA CHADEMA. CHADEMA MPENI UENYEKITI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Watanzania ni watu ambao huwaamini kama wanaweza kuishi bila kuonewa. Bila kutetemekea watawala. Bila kuwa machawa wa wenye navyo.

Watanzania wengi huamini kuonewa, kudhulumiwa na Wakubwa ni HAKI yao.
Watanzania wengi wamejenga kasumba kuwa ukiwa na cheo unahaki ya kufanya chochote kwa wasionavyo.

Watanzania wengi ni conservative au tuseme wamedumaa na hawahitaji mabadiliko mazuri zaidi.

Watanzania wengi hawamaani katika utu, HAKI, ndio maana hawawezi kupigania HAKI Zao hata kwa kusema tuu.

Watanzania ndio watu pekee ambao hata wewe hapo unaweza jifanya Usalama wa taifa ukaenda kijiwe chochote ukamchukua mtu yeyote au ukampiga makofi mtu kwa kisingizio cha Usalama wa taifa na Watanzania wakakuangalia tuu

Watanzania wengi ndio watu pekee ambao unaweza kuwaweka benchi wakasugua wakisubiri huduma ya hospital au huduma yoyote na wasiwe kuhoji.

Tundu Antipas Lisu tunamhitaji kwa wakati huu ili kubusti akili za Watanzania. Kuamsha Ari.
Kung'arisha fikra,
Kuchochea Moyo wa kupenda haki na kuipigania.

Kuufanya ukweli uwe mwamvuli wa wananchi.

Kuondoa uchawa na Tabia mbaya za kujipendekeza.
Moja ya dalili ya ukosefu wa HAKI katika jamii ni uchawa na kujipendekeza.
Uchawa na HAKI havikai pamoja.
Uchawa na ukweli havikai pamoja.

Mtu yeyote anayejitambulisha na kujionyesha. kama Chawa hawezi kuwa mtenda HAKI.

LISU atarejesha imani ya watu kwenye vyama vya upinzani. Kama ilivyokuwa 2010-2015.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Dar es salaam
Km kweli unaamini unayosema na unamtakia mema Lissu ungemwambia watanzania hawaamini ktk siasa za confrotational na hivyo nafasi nzuri kwake ndani ya chama ni kuwa mwalimu wa itikadi, chama kianzishe madarasa ya itikadi hasa kwa viongozi na Lissu atumike kufundisha itikadi ya chama..atakisaidia sana chama chake kuliko akiwa Mwenyekiti wa chama na atakuwa na muda wa kuwa na utulivu ili arudi kwenye hali ya mwanzo kisaikolojia na hata apate muda kuamua familia yake irejee kuishi Tanzania tena.
 
LISU ATARUDISHA ITIKADI/IMANI YA WATU KWA CHADEMA. CHADEMA MPENI UENYEKITI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Watanzania ni watu ambao huwaamini kama wanaweza kuishi bila kuonewa. Bila kutetemekea watawala. Bila kuwa machawa wa wenye navyo.

Watanzania wengi huamini kuonewa, kudhulumiwa na Wakubwa ni HAKI yao.
Watanzania wengi wamejenga kasumba kuwa ukiwa na cheo unahaki ya kufanya chochote kwa wasionavyo.

Watanzania wengi ni conservative au tuseme wamedumaa na hawahitaji mabadiliko mazuri zaidi.

Watanzania wengi hawamaani katika utu, HAKI, ndio maana hawawezi kupigania HAKI Zao hata kwa kusema tuu.

Watanzania ndio watu pekee ambao hata wewe hapo unaweza jifanya Usalama wa taifa ukaenda kijiwe chochote ukamchukua mtu yeyote au ukampiga makofi mtu kwa kisingizio cha Usalama wa taifa na Watanzania wakakuangalia tuu

Watanzania wengi ndio watu pekee ambao unaweza kuwaweka benchi wakasugua wakisubiri huduma ya hospital au huduma yoyote na wasiwe kuhoji.

Tundu Antipas Lisu tunamhitaji kwa wakati huu ili kubusti akili za Watanzania. Kuamsha Ari.
Kung'arisha fikra,
Kuchochea Moyo wa kupenda haki na kuipigania.

Kuufanya ukweli uwe mwamvuli wa wananchi.

Kuondoa uchawa na Tabia mbaya za kujipendekeza.
Moja ya dalili ya ukosefu wa HAKI katika jamii ni uchawa na kujipendekeza.
Uchawa na HAKI havikai pamoja.
Uchawa na ukweli havikai pamoja.

Mtu yeyote anayejitambulisha na kujionyesha. kama Chawa hawezi kuwa mtenda HAKI.

LISU atarejesha imani ya watu kwenye vyama vya upinzani. Kama ilivyokuwa 2010-2015.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Dar es salaam
Subiri matusi toka kwa wachagga
 
Km kweli unaamini unayosema na unamtakia mema Lissu ungemwambia watanzania hawaamini ktk siasa za confrotational na hivyo nafasi nzuri kwake ndani ya chama ni kuwa mwalimu wa itikadi, chama kianzishe madarasa ya itikadi hasa kwa viongozi na Lissu atumike kufundisha itikadi ya chama..atakisaidia sana chama chake kuliko akiwa Mwenyekiti wa chama na atakuwa na muda wa kuwa na utulivu ili arudi kwenye hali ya mwanzo kisaikolojia na hata apate muda kuamua familia yake irejee kuishi Tanzania tena.
Nawe kama ni muumini wa demokrasia tungekuomba umwambie Mzee apishe wengine .Miaka ishirini ya kukunja ngumi haijaleta matokeo tarajia hata kidogo.
 
Lissu ni adui wa demokrasia na kirusi ndani ya chama rafiki CHADEMA. Sisi wanaCCM tunasikitishwa na vurugu zinazofanywa na Lissu. Mbowe awe tu mtulivu atashinda hii vita.
Hofu imeshawaingia tayari wakati Tambo ndio kwanza yanaanza. Tulieni ili aje awarushe kichura chura hadi akili ziwakae sawa.
 
LISU ATARUDISHA ITIKADI/IMANI YA WATU KWA CHADEMA. CHADEMA MPENI UENYEKITI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Watanzania ni watu ambao huwaamini kama wanaweza kuishi bila kuonewa. Bila kutetemekea watawala. Bila kuwa machawa wa wenye navyo.

Watanzania wengi huamini kuonewa, kudhulumiwa na Wakubwa ni HAKI yao.
Watanzania wengi wamejenga kasumba kuwa ukiwa na cheo unahaki ya kufanya chochote kwa wasionavyo.

Watanzania wengi ni conservative au tuseme wamedumaa na hawahitaji mabadiliko mazuri zaidi.

Watanzania wengi hawamaani katika utu, HAKI, ndio maana hawawezi kupigania HAKI Zao hata kwa kusema tuu.

Watanzania ndio watu pekee ambao hata wewe hapo unaweza jifanya Usalama wa taifa ukaenda kijiwe chochote ukamchukua mtu yeyote au ukampiga makofi mtu kwa kisingizio cha Usalama wa taifa na Watanzania wakakuangalia tuu

Watanzania wengi ndio watu pekee ambao unaweza kuwaweka benchi wakasugua wakisubiri huduma ya hospital au huduma yoyote na wasiwe kuhoji.

Tundu Antipas Lisu tunamhitaji kwa wakati huu ili kubusti akili za Watanzania. Kuamsha Ari.
Kung'arisha fikra,
Kuchochea Moyo wa kupenda haki na kuipigania.

Kuufanya ukweli uwe mwamvuli wa wananchi.

Kuondoa uchawa na Tabia mbaya za kujipendekeza.
Moja ya dalili ya ukosefu wa HAKI katika jamii ni uchawa na kujipendekeza.
Uchawa na HAKI havikai pamoja.
Uchawa na ukweli havikai pamoja.

Mtu yeyote anayejitambulisha na kujionyesha. kama Chawa hawezi kuwa mtenda HAKI.

LISU atarejesha imani ya watu kwenye vyama vya upinzani. Kama ilivyokuwa 2010-2015.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Dar es salaam

Chawa wakale polisi?
 
Back
Top Bottom