=Listen to the Music and Vote=

Tuendelee kuleta vitu kama hivi JF?

  • NDIYO

    Votes: 41 91.1%
  • HAPANA

    Votes: 4 8.9%
  • SIJUI

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    45

Invisible

Robot
Feb 11, 2006
9,075
7,873
TzMiningReview.JPG


Inajieleza; hakuna kilichopunguzwa wala kuongezwa.
Enjoy your w/end

 
Hiki kibao ni kikali japo santuri imepata scratches kidogo,lakini inaplay mpaka mwisho.

Oh yeah? Ndo maana nilikuwa nasita kuweka sababu ya hizo scratches mwishoni mwa santuri yenyewe. Lakini kumbuka kupiga kura!
 
Kama ambavyo nimeamini siku zote, tatizo kubwa liko kwenye TRA na accounting methods za hao wenye migodi.

Hiyo ratio ya debt/equity sio realistic na hakuna biashara inayoweza kuendeshwa hivyo.

Hiyo kamati ya madini inatakiwa kuwa na wachumi zaidi ya hata wanasheria. Sheria za kimataifa za accounting zifuatwe na kuwe na adhabu kali pale inapoonekana kuna kitu kimekiukwa. Inatakiwa waanze kufuata IFRS (International Financial Reporting Standards.

Hizo annual reports za hayo makampuni ziwe ni public information, hivyo kuwapa nafasi analyst kuweza kuchambua kama hizo results zina make sense.

Zitto, hiyo kamati yenu lazima muombe wataalamu wa hizo Annual Reports ili waone kama zina make sense. Ni rahisi mno kukwepa kodi kwa kuingiza madeni makubwa hata kama kampuni inapata faida.

Tunaibiwa sana Tanzania.

Asante sana mkuu invisible.
 
Mimi nafikiri kuna haja ya kujadili hii ripoti kwa makini sana.

Pia sina uhakika kama kweli hii kamati ilifikia objectives zake, hasa hasa kwenye assessment ya Mining perfomances.
 
Muziki unasikika sehemu zote muhimu na hizo gitaa mtu anaweza kuzipata hata katika duka la vitabu la serikali.. Ila naona hizo alama katika muziki wenyewe zinaweza kuonyesha chanzo.. japo nina hakika aliyetoa anajiamini 100% na hajali mtu vinginevyo asingeleta hapa....
 
Kama ambavyo nimeamini siku zote, tatizo kubwa liko kwenye TRA na accounting methods za hao wenye migodi.

Hiyo ratio ya debt/equity sio realistic na hakuna biashara inayoweza kuendeshwa hivyo.

Hiyo kamati ya madini inatakiwa kuwa na wachumi zaidi ya hata wanasheria. Sheria za kimataifa za accounting zifuatwe na kuwe na adhabu kali pale inapoonekana kuna kitu kimekiukwa. Inatakiwa waanze kufuata IFRS (International Financial Reporting Standards.)

Hizo annual reports za hayo makampuni ziwe ni public information, hivyo kuwapa nafasi analyst kuweza kuchambua kama hizo results zina make sense.

Na hii ndiyo target kubwa ya kuleta miziki kama hii. Watu kutoa mapendekezo na maoni yao kama hivi. Kuna wanaojifunza toka kwenu katika kamati husika na wangependa kuona mawazo zaidi kama haya ama tofauti na haya.

Good start mkuu Mtanzania!
 
phew..! finally the dance has begun.. let try to look for some more tapes (you know those things that had two holes and a magnetic tape around two wheels.. like a ribbon?). And then we'll try to get those big santuri. You don't remember them? they look like big CD the size of a sinia!! One of the best one had a song called "Kasongo Yeye"..
 
phew..! finally the dance has begun.. let try to look for some more tapes (you know those things that had two holes and a magnetic tape around two wheels.. like a ribbon?). And then we'll try to get those big santuri. You don't remember them? they look like big CD the size of a sinia!! One of the best one had a song called "Kasongo Yeye"..

Kasongo yeye?

Una jokes wewe.

Asante invisible na JF kwa muziki huu.
GO JF!

Thanks!
 
unafanya mchezo nini. Enzi hizo wenyewe tumetinga Raizoni, umechana Afro, shati la draft huku likizungukwa na kola kuubwa; suruali ya "kumwaga" halafu miwani mikubwa ya jua. Pembeni, nimebeba radio yangu ya "Phillips" - ndiyo yenyewe! .. naelekea kupata "mtungi"..
 
unafanya mchezo nini. Enzi hizo wenyewe tumetinga Raizoni, umechana Afro, shati la draft huku likizungukwa na kola kuubwa; suruali ya "kumwaga" halafu miwani mikubwa ya jua. Pembeni, nimebeba radio yangu ya "Phillips" - ndiyo yenyewe! .. naelekea kupata "mtungi"..

Dikiteta Nyerere alikuruhusu kuvaa raizon na shati la draft?
 
phew..! finally the dance has begun.. let try to look for some more tapes (you know those things that had two holes and a magnetic tape around two wheels.. like a ribbon?). And then we'll try to get those big santuri. You don't remember them? they look like big CD the size of a sinia!! One of the best one had a song called "Kasongo Yeye"..

Nipe hongera basi. Just as i predicted. Nikushike tucheze wote?
 
karibu Bi. Asha.. chagua wimbo, "Nakolele mama nakolele Viva Krimasi", "Georgina", "Mpenzi wangu Rose"?
 
karibu Bi. Asha.. chagua wimbo, "Nakolele mama nakolele Viva Krimasi", "Georgina", "Mpenzi wangu Rose"?

Wewe taste yako ya nyimbo inaonekana iko kushoto sana! Hivi haya ndiyo madhara ya udikiteta wa Nyerere hata huwezi kuchagua nyimbo nzuri za kucheza na dada Asha?

mhhhhh
 
dear.. nichagulie kibao basi maana dikteta aliniharibu hasa baada ya watu wake kunilazimisha kusikiliza Wanapaselepa, TP OK Jazz, Morogoro Jazz, Kilwa Jazz n.k ..
 
dear.. nichagulie kibao basi maana dikteta aliniharibu hasa baada ya watu wake kunilazimisha kusikiliza Wanapaselepa, TP OK Jazz, Morogoro Jazz, Kilwa Jazz n.k ..

Mwanakijiji, labda anataka uptempo kidogo kama 'Mambo Bado....magoma motomoto' - Makassy!! Au taratibu 'Marashi ya Pemba'?
Mimi nimekuja mpekumpeku, nacheza miondoko ya bugobogobo.
 
Defunc.. umenikumbusha mbali sana.. nakumbuka nilishinda shilingi ishirini kwenye mashindano ya kudance pale Bwalo la Maafisa wa Polisi alipokuja Mzee Makassy. Ati baada ya kutoka jasho tukaambiwa tumefungana ikabidi tugawane shilingi 20.. wakati huo ndio kibao kimetoka tu.. !
 
Defunc.. umenikumbusha mbali sana.. nakumbuka nilishinda shilingi ishirini kwenye mashindano ya kudance pale Bwalo la Maafisa wa Polisi alipokuja Mzee Makassy. Ati baada ya kutoka jasho tukaambiwa tumefungana ikabidi tugawane shilingi 20.. wakati huo ndio kibao kimetoka tu.. !

Pale O'bey Bwaloni miye nilikuwa naenda na rafiki yangu alinikaribisha kwenda kuangalia naye Juwata Zazz Band, nakumbuka ndipo walipokuwa wakitumbuiza mara kwa mara...

Lakini wengi walio hudhuria hapo nakumbuka walikuwa watoto wa wakubwa.... mimi nilipelekwa na rafiki yangu mtoto wa mkubwa.... je wewe Mkjj?!

Maaamaaa, hii thread yaweza badilika mwelekeo....


SteveD.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom