Listen: Marriage is not for everyone(ndoa si Kwa kila mtu)

Jumong S

JF-Expert Member
Jul 3, 2013
7,312
10,492
...usijisumbue, ndoa si Kwa kila mwanamke au mwanaume!

Hii case ni kubwa Kwa wadada/wamama yaani kila wakati wanahangaika lini wataolewa. Utawakuta wamepanga mistari Kwa Manabii/wachungaji kuomba maombi ya kuolewa! Masangoma nao wanawapiga Sana wadada kisa kuolewa!

Noeli niliibukia Pub moja, wakati napata glass ya juice ya ukwaju mara nakutana na bidada niliyesoma naye 2011. She was still cute, tabasamu la haja na umbo lake tamu lilikuwa halijapotea! Class tuliaminigi she was one of wife materials lkn n our mazungumzo akaanza kulalama kuwa Kwa nini haolewi. Dada kanywa mpk mafuta na maji ya upako ya Mtume ila wapi!! Nikampa jibu lililosababisha afiche tabasamu lake Kwa sidiria, nilimwambia, 'Marriage is not for every woman'

Jamani! Sio wote tumeandikiwa ndoa! Zile kauli sijui ndoa ni Sheria kuzaa majaliwa ni za viongozi wa dini tu. Dini zenyewe miyeyusho, mara hii inashauri kuoa mke mmoja na nyingine inashauri tuoe hata 4 na tukifa tutapewa mavirgin 72 na nguvu za kupiga 100!

Just live your life, be good to everyone, penda kusaidia wahitaji, usimuumize yeyote.

Fanya kila uwezacho kukupa furaha ilimradi humuumizi mtu! Issue za stress za mahusiano sijui kulazimishana ndoa tuache.

Ukishajigundua ndoa si fungu lako potezea, Kula bata! We only live once!!
tapatalk_1570433546060.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndoa ni mpango wa mungu afu Kwa sisi waisilamu ni nusu ya dini na ni ibada mana kila mnachofanyiana mungu huwalipa dadhira nyingi Sana msiwashauri watu waendelee na uzinzi kumbukeni siku ya mwisho ipo ni bora ukaamini kua mungu yupo uka muabudu kuliko kuto Kuamini mana siku Ukikutana nae na ulijifanya kuto amini ndo Utajua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndoa ni mpango wa mungu afu Kwa sisi waisilamu ni nusu ya dini na ni ibada mana kila mnachofanyiana mungu huwalipa dadhira nyingi Sana msiwashauri watu waendelee na uzinzi kumbukeni siku ya mwisho ipo ni bora ukaamini kua mungu yupo uka muabudu kuliko kuto Kuamini mana siku Ukikutana nae na ulijifanya kuto amini ndo Utajua

Sent using Jamii Forums mobile app
Yupi Mungu wa kweli?yapi maagizo sahihi? Ya Allah au ya Yesu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndoa sio ya Kila mtu. Ila ni vema mtu kuoa/kuolewa. Inaepusha Mambo mengi. Na pia inasaidia Kujijenga zaid Kimaisha.

Changamoto za Maisha/ndoa ndio haswaa inafanya Mwanandoa kukua.
Kulisha familia, kusomesha, kujenga nyumba, kuandaa future ya watoto nk.

Usipooa haya yote huwez kufanya kwa haraka. Utaridhika na Ulicho nacho
 
Umesema ukweli Mkuu. Maisha ya kuoa na kuolewa sio kwa kila mtu.
Wenye ndoa tusijione kupatia na kuwaona wasio na ndoa wakosaji. Mtu anaweza kutokuwa kwenye ndoa kwa hiari pia
 
Ndoa ni mpango wa mungu afu Kwa sisi waisilamu ni nusu ya dini na ni ibada mana kila mnachofanyiana mungu huwalipa dadhira nyingi Sana msiwashauri watu waendelee na uzinzi kumbukeni siku ya mwisho ipo ni bora ukaamini kua mungu yupo uka muabudu kuliko kuto Kuamini mana siku Ukikutana nae na ulijifanya kuto amini ndo Utajua

Sent using Jamii Forums mobile app
Uislam sio dini ya Mungu ni mipango ya ibilis kuua ukombozi wa Yesu msalabani
Hata. Yesu alisema sio MTU anauwezo wa kuyashika haya"" alipoulizwa ju ya ndoa ucha uwongo njo kwa Yesu
 
Back
Top Bottom