Listen KLHN "Live"... testing

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,474
39,987
Wikendi hii tunafanya majaribio ya kurusha matangazo moja kwa moja toka studio zetu hapa kijijini. Kuweza kusikiliza matangazo yetu live nenda kwenye tovuti ya: http://www.ubroadcast.com halafu fuata hatua zifuatazo:
Kuweza kusikiliza matangazo yetu live masaa 24 fanya hivi:

Nenda http://www.ubroadcast.com
Ingia kwenye "Listen" na download player
Iandikishe "player" yako kwa chini ya sekunde chache. (haichukui muda)
Fungua hiyo player na utaona inakupa options tatu, "Stations", "Favourites" na "Feature" nenda kwenye Stations na angalia maelezo ya 6
Juu ya hiyo player kwenye mstari wa nembo ya "Ubroadcast" kuna sehemu ya kujaza (yaweza kuwa na namba fulani hivi kama moja) halafu mbele yake kuna neno "Jump"
Kwenye sehemu ya kujaza andika namba 10383 (namba ya Station) halafu bonyeza "Jump" au "Jump to show" na mara moja utaanza kuburudika na muziki na matangazo.
Hatua hizo unazifanya mara moja tu na huko mbeleni unafungua player na namba ya station itakuwa tayari, na wewe unabonyeza "Jump" na burudani zinaanza.
Uzuri wa player hii ukilinganisha na nyingine.

a. Wewe una total control ya kile unachosikiliza. Unaweza kusimamisha muziki, kuchagua muziki wa mbeleni, n.k na unapoanza kusikiliza unaanza na muziki ambao msikilizaji mwingine anaweza asianze nao na kila utakapofungua unaanza na muziki tofauti na unaweza kwenda mbele n.k.

b. Wakati M. M. anapokuwa hewani live (bado hatujaamua muda mzuri) hasa kwa taarifa ya habari, wasikilizaji wote wataweza kumsikiliza kwa wakati mmoja na baadaye muziki utaendelea kama kawaida. Hakikisha umejiandikisha kwani akiwa hewani utaweza kuwasiliana naye "live" huku matangazo yanaendelea.

KARIBUNI TUENDELEE KUIFANYIA MAJARIBIO!
 
Je kwa watu wa Marekani ni wakati wa kusikiliza taarifa ya habari hasa mida ya usiku au kama ni mchana (wakati wa lunch)? tunajaribu kuona ni wakati gani unafaa kuleta taarifa ya habari live
 
Je kwa watu wa Marekani ni wakati wa kusikiliza taarifa ya habari hasa mida ya usiku au kama ni mchana (wakati wa lunch)? tunajaribu kuona ni wakati gani unafaa kuleta taarifa ya habari live

Wakati wa lunch....mimi ningependa iwe 12:00PM eastern...
 
Wikendi hii tunafanya majaribio ya kurusha matangazo moja kwa moja toka studio zetu hapa kijijini. Kuweza kusikiliza matangazo yetu live nenda kwenye tovuti ya: http://www.ubroadcast.com halafu fuata hatua zifuatazo:
Kuweza kusikiliza matangazo yetu live masaa 24 fanya hivi:

Nenda http://www.ubroadcast.com
Ingia kwenye "Listen" na download player
Iandikishe "player" yako kwa chini ya sekunde chache. (haichukui muda)
Fungua hiyo player na utaona inakupa options tatu, "Stations", "Favourites" na "Feature" nenda kwenye Stations na angalia maelezo ya 6
Juu ya hiyo player kwenye mstari wa nembo ya "Ubroadcast" kuna sehemu ya kujaza (yaweza kuwa na namba fulani hivi kama moja) halafu mbele yake kuna neno "Jump"
Kwenye sehemu ya kujaza andika namba 10383 (namba ya Station) halafu bonyeza "Jump" au "Jump to show" na mara moja utaanza kuburudika na muziki na matangazo.
Hatua hizo unazifanya mara moja tu na huko mbeleni unafungua player na namba ya station itakuwa tayari, na wewe unabonyeza "Jump" na burudani zinaanza.
Uzuri wa player hii ukilinganisha na nyingine.

a. Wewe una total control ya kile unachosikiliza. Unaweza kusimamisha muziki, kuchagua muziki wa mbeleni, n.k na unapoanza kusikiliza unaanza na muziki ambao msikilizaji mwingine anaweza asianze nao na kila utakapofungua unaanza na muziki tofauti na unaweza kwenda mbele n.k.

b. Wakati M. M. anapokuwa hewani live (bado hatujaamua muda mzuri) hasa kwa taarifa ya habari, wasikilizaji wote wataweza kumsikiliza kwa wakati mmoja na baadaye muziki utaendelea kama kawaida. Hakikisha umejiandikisha kwani akiwa hewani utaweza kuwasiliana naye "live" huku matangazo yanaendelea.

KARIBUNI TUENDELEE KUIFANYIA MAJARIBIO!

Namiini wewe ni kichaa. redio inawafanya kazi wangapi? umesomea wapi na ina licence?
kama umeshindwa maisha rudi nyumbani huna murder case.
 
Namiini wewe ni kichaa. redio inawafanya kazi wangapi? umesomea wapi na ina licence?
kama umeshindwa maisha rudi nyumbani huna murder case.

Kwani ni nani atashindwa kumfahamu mwenye kichaa kati yenu? Mbona ni wazi kabisa!
 
Mimi nina ombi maalum.Jaribu kusaka interview na aidha EL,Karamagi au Msabaha watupe "take yao kuhusu Richmond (ningependa kumjumuisha RA lakini sina uhakika kama anaongea fluent Swahili au Kiarabu!!!).
Pia naamini KLHN itafanikiwa,one of these days,kumnasa Muungwana kwa mahojiano atuambie hiyo ndoto yake ya MASIHA BORA KWA KILA MTANZANIA imefikia wapi,au ndio tusubiri hadi after 2010 kama atarejea Ikulu
 
Nashukuru kwa maoni na mapendekezo tutajitahidi kuyafanyia kazi....kuhusu wageni tusubiri hasa baada ya siku kuu hizi zipite... halafu tuanze kama kawa!!! I already got the lineup..
 
Mimi nina ombi maalum.Jaribu kusaka interview na aidha EL,Karamagi au Msabaha watupe "take yao kuhusu Richmond

Kwanza kabisa nitoe pongezi zangu nyingi sana kwa Mwanakijiji. Hii ni hatua nzuri na tuko pamoja nawe kwa hali na....sorry!
Pili napendekeza kusiwe na akina Lowassa na akina Karamagi huko. Tumechoka kuwasikia.
Tunahitaji kumsikia mtu mmoja tu kwenye redio hiyo: Daudi Balali. Huyu anaweza kuwa na habari ambayo inaweza kutusaidia watanzania wengi.
Nadhani akina Lowassa na wenzake ni vizuri kama tukiwasikia kwenye "cross-examinations" za prosecutors wa serikali.
 
asante Advisor..

Jamani usiku huu nitakuwa najaribu tena kuwa hewani na kufanya majaribio ya hapa na pale, maana hii instrumentation dashboard ya kutangazia kidogo inaleta mawenge... kama ulikuwa unasikiliza ni lazima uzima na kuanza kucheza tena ili uweze kupata matangazo "live"...
 
Namiini wewe ni kichaa. redio inawafanya kazi wangapi? umesomea wapi na ina licence?
kama umeshindwa maisha rudi nyumbani huna murder case.
MKJJ DONT ARGUE WITH A.......BECAUSE PEOPLE WONT NOTICE THE DIFFERENCE....!
 
Niko hewani sasa hivi, nikikuletea nyimbo za pasaka!! exclusive nyimbo ambazo hutazikisikia kwingine kokote kuanzia, kwaya ya Kijito Nyama hadi Kenya na SA...
 
Kwa sisi tuliopo Tanzania ni gharama mno kusikiza Radio ya huyo ndg!labda kwa waliyepo nje ya nchi!
 
Back
Top Bottom