Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,036
- 71,268
Ulichokisem nikweli kabisa mtoa mada.
Niukweli ukitembea na mwizi naww utakua mwizi.
Nakatika Saikolojia mara nyingi sana Mwanadamu hufurahishwa na mwanadamu mwenzake ambaye anamatendo kama yake .
Ningumu kukuta Shamsa ford awe na urafiki wadamu na yule mdada aliimba "nipe macho nioneeeee machoo eeehhh" .
Nmemsahau jina..ila nachotaka sema nikwamba ndege wafanano huruka pamoja.....ukiona mwanamke anaurafiki wa moja kwa moja au kutetea maisha ya hao ulowataja..huyo ni wakumtazama Kwa makini sana
Asiwambie mtu...mwanamke mcha Mungu bana yaan mpaka Raha
Niukweli ukitembea na mwizi naww utakua mwizi.
Nakatika Saikolojia mara nyingi sana Mwanadamu hufurahishwa na mwanadamu mwenzake ambaye anamatendo kama yake .
Ningumu kukuta Shamsa ford awe na urafiki wadamu na yule mdada aliimba "nipe macho nioneeeee machoo eeehhh" .
Nmemsahau jina..ila nachotaka sema nikwamba ndege wafanano huruka pamoja.....ukiona mwanamke anaurafiki wa moja kwa moja au kutetea maisha ya hao ulowataja..huyo ni wakumtazama Kwa makini sana
Asiwambie mtu...mwanamke mcha Mungu bana yaan mpaka Raha