List ya wanawake hatari hapa mjini. Ukimuona mke wako yupo nao toa talaka

sixgates

JF-Expert Member
Mar 19, 2011
3,979
1,662
Baada ya msiba wa mtoto Paty, na sinema zinazoendelea nimejifunza mengi haswa baada ya kuona kumbe yaliyokuwa yanasemwa na watu kuwa huu mji wa Dsm kuna wanawake ambao ni Waalimu wa wanawake. Hawa wanapenda maisha ya hadhi, maisha ya instagram, maisha ya kuwapelekesha walio waoa na si wote ila wengi wanapenda mambo ya kwenda kwa waganga. Na kila mwanamke hapa unaweza kusema wana pepo kwa sababu ndani ya maisha yao wamebeba mazito kabisa hadi hawaogopi.


  1. Mange Kimambi (ukiona mke wako anachat, au yupo karibu na huyu dada basi kuna siku utalia)
  2. MunaLuv ( Huyu alikuwa wa hatar sana zaman, amewabadili wanawake wengi inawezekana kabadilika ila bado nakushauri asikae karibu na mke wako)
  3. Shamsa Ford (Huyu atamzururisha mke wake wako mpk atapata bwana mwingine anaeenda china/hongkong)
  4. Faiza Ally (huyu atamshauri mke wako akumwagie hata maji ya moto au akuchome kisu)
  5. Joyce kiria ( ukiona yupo karibu na mke wako, walah utakuja kulia, hata kituo cha police utalala au kw makonda)
  6. Zamaradi Mtetema ( ukishaona girlfriend wako ana ukaribu na huyu, jiandae, atakuacha madhabahuni, kama umemuoa jua atakukimbia, siku zaja)
  7. Wema Sepetu ( Ukishaona mke wako au mpenz wako yupo karibu na Sepetu baasi ashakuwa mwanamke wa mjini, jiandae kuwa ATM, kuwa na hela tu. Japo hatakuacha wala kukuaibisha, na atakupenda ila lazm ufilisike)
  8. Lulu Michael (Ukishaona mke wako au mpenz wako yupo karibu na huyu dada. Anza kulia, atakuwa ana siri nzito sana hata mimi nimeshindwa kujua ni ipi)
  9. Bi Sandra (ukishaona mke wako ana ukaribu na huyu mama basi umeoa mjinga wee jua tu hivyo)
  10. Hamisa Mobetto ( ukishamuona girlfriend hata anamfuatilia hamisa insta baasi, lazm atakuacha aende kwa watu maarufu)
Ninamaanisha ninachokisema. Hawa ndiyo wanawake wa mjini hakuna anaegopa mtu wala chochote, wamezindikwa isipokuwa Mange Kimambi japo Mange ndiyo kiranja wao.
 
Baada ya msiba wa mtoto Paty, na sinema zinazoendelea nimejifunza mengi haswa baada ya kuona kumbe yaliyokuwa yanasemwa na watu kuwa huu mji wa Dsm kuna wanawake ambao ni Waalimu wa wanawake. Hawa wanapenda maisha ya hadhi, maisha ya instagram, maisha ya kuwapelekesha walio waoa na si wote ila wengi wanapenda mambo ya kwenda kwa waganga. Na kila mwanamke hapa unaweza kusema wana pepo kwa sababu ndani ya maisha yao wamebeba mazito kabisa hadi hawaogopi.


  1. Mange Kimambi (ukiona mke wako anachat, au yupo karibu na huyu dada basi kuna siku utalia)
  2. MunaLuv ( Huyu alikuwa wa hatar sana zaman, amewabadili wanawake wengi inawezekana kabadilika ila bado nakushauri asikae karibu na mke wako)
  3. Shamsa Ford (Huyu atamzururisha mke wake wako mpk atapata bwana mwingine anaeenda china/hongkong)
  4. Faiza Ally (huyu atamshauri mke wako akumwagie hata maji ya moto au akuchome kisu)
  5. Joyce kiria ( ukiona yupo karibu na mke wako, walah utakuja kulia, hata kituo cha police utalala au kw makonda)
  6. Zamaradi Mtetema ( ukishaona girlfriend wako ana ukaribu na huyu, jiandae, atakuacha madhabahuni, kama umemuoa jua atakukimbia, siku zaja)
  7. Wema Sepetu ( Ukishaona mke wako au mpenz wako yupo karibu na Sepetu baasi ashakuwa mwanamke wa mjini, jiandae kuwa ATM, kuwa na hela tu. Japo hatakuacha wala kukuaibisha, na atakupenda ila lazm ufilisike)
  8. Lulu Michael (Ukishaona mke wako au mpenz wako yupo karibu na huyu dada. Anza kulia, atakuwa ana siri nzito sana hata mimi nimeshindwa kujua ni ipi)
  9. Bi Sandra (ukishaona mke wako ana ukaribu na huyu mama basi umeoa mjinga wee jua tu hivyo)
  10. Hamisa Mobetto ( ukishamuona girlfriend hata anamfuatilia hamisa insta baasi, lazm atakuacha aende kwa watu maarufu)
Ninamaanisha ninachokisema. Hawa ndiyo wanawake wa mjini hakuna anaegopa mtu wala chochote, wamezindikwa isipokuwa Mange Kimambi japo Mange ndiyo kiranja wao.

Dada zako wale Wawili mliozaliwa nao tumbo moja toka nitoke mbona hujawajumuisha katika hicho Kikosi Kazi chako hapo juu?
 
Na we mange mpenzi wangu au mke wangu akiwa karibu na wee nifanyeje?
 
Kuna utafiti uliokamilika ila kwa sababu maalum hautatolewa officially kwa public! Utafiti wenyewe ni juu ya uhusiano wa kabila la Wema na roho ya ufilisi!!! Hebu kila mmoja pale alipo ajaribu kuwakumbuka watu anaowajua waliooa kabila hilo na hali zao kiuchumi! Binafsi nimekubaliana na utafiti huo kwa 89%
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom