Elections 2015 Orodha ya waliogombana na Magufuli na hatma zao

Makufuli hawezi kuwa raisi wa nchi hii na haita tokea.

Bado siku chache upopo wa kisiasa utabadidilika na dira thabiti ya nani anaenda kuwa raisi wa hii nchi ya Kambarage atakuwa wazi

Mark my ward
Na bado ataendelea mpaka 2025
 
Membe alisema kuwa akiwa rais waliokuwa wanamkosoa (akina Pasco, Ulimwengu, Jf members, etc) itabidi wakimbie nchi (wakimbilie Kenya) kwa bahati yao hajawa rais (labda wataondoka Membe akiwa Waziri Mkuu).

Sasa kuna hawa waliokuwa wanamkosoa Magufuli na wengi wao wako serikalini hatma zao zikoje kwenye zama hizi ambazo tuna watawala waliojaaa siasa za visasi hata kwa wapiga domo mitaani?

kwan maadui zako hua unawafanya nn 'USITUFANYE TUFIKILI VILE UNAVYOWAZA'
 
Kuweni na amani...administration ya Magufuli ina focus na kuwekeza kwenye mchakamchaka wa mapinduzi ya kiuchumi, kijamii na kisiasa...

Ukicheza sinema yenye maudhui haya uliyoyataja na mhusika akaiga mambo anayoyafanya Magufuli itakuwa flop from day one. Ni sawa na mtu aigize picha ya Kikristo lakini sterling wake auvae wasifu wa Mohammed.
 
Tusitarajie visasi toka kwa magufuri au slaa.maadui wao ni watendaji waovu,wala rushwa,mafisadi,wabadhirivu na wezi wa mali ya umma.hivyo kazi yako ni kufanya maamuzi sahihi kwa ajili ya maendeleo ya Tanzania.
Hellow..! uliona mbali aisee
 
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom