Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,697
- 12,762
Ee bwanaaaa....haya makaburi haya na hii ya CAG naona wamegombana kabla hajawa hata raisiHatima ya CAG Assad sijui itakuwaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ee bwanaaaa....haya makaburi haya na hii ya CAG naona wamegombana kabla hajawa hata raisiHatima ya CAG Assad sijui itakuwaje
Tusubiri tarehe 21.
P
Hehehe wauza unga eeh?Sasa wewe hutaki maendeleo? Wakiumia wakina prince na wauza unga wenzie wewe utakosa nini?
Na bado ataendelea mpaka 2025Makufuli hawezi kuwa raisi wa nchi hii na haita tokea.
Bado siku chache upopo wa kisiasa utabadidilika na dira thabiti ya nani anaenda kuwa raisi wa hii nchi ya Kambarage atakuwa wazi
Mark my ward
ProveBusara ya mzee magufuri ni kubwa kuliko wengi wenu humu ndani!
Bado anatafutiwa namna.Hatima ya CAG Assad sijui itakuwaje
Edward SambaiMakufuli hawezi kuwa raisi wa nchi hii na haita tokea.
Bado siku chache upopo wa kisiasa utabadidilika na dira thabiti ya nani anaenda kuwa raisi wa hii nchi ya Kambarage atakuwa wazi
Mark my ward
Mmmh, watu mnaonaga mbali sana aise!Hatima ya CAG Assad sijui itakuwaje
dua za kuku hizi, mwewe apigwe na radi...pole yako! Sisi na ngosha wetu tu tena tuirekebishe katiba, apewe misimu mi3! Mpaka wapigani muihame nchi yetu au sahau kabisa kupiga!Edward Sambai
[IMG]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/182/182897.jpg?1421432547[/IMG]
JF-Expert Member · 34
Last seen Apr 10, 2017
Membe alisema kuwa akiwa rais waliokuwa wanamkosoa (akina Pasco, Ulimwengu, Jf members, etc) itabidi wakimbie nchi (wakimbilie Kenya) kwa bahati yao hajawa rais (labda wataondoka Membe akiwa Waziri Mkuu).
Sasa kuna hawa waliokuwa wanamkosoa Magufuli na wengi wao wako serikalini hatma zao zikoje kwenye zama hizi ambazo tuna watawala waliojaaa siasa za visasi hata kwa wapiga domo mitaani?
Kuweni na amani...administration ya Magufuli ina focus na kuwekeza kwenye mchakamchaka wa mapinduzi ya kiuchumi, kijamii na kisiasa...
Hellow..! uliona mbali aiseeTusitarajie visasi toka kwa magufuri au slaa.maadui wao ni watendaji waovu,wala rushwa,mafisadi,wabadhirivu na wezi wa mali ya umma.hivyo kazi yako ni kufanya maamuzi sahihi kwa ajili ya maendeleo ya Tanzania.