BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,020
- 8,480
Messi ana vikombe 31 , Cr 7 ana vikombe 23.
Mwambie Messi kaipatisha u20 world cup tim yake ya taifa,, na ameingia final 1 world cup 2014 na mbili copa america,, na makombe ya club bingwa,copa delrey super cup, fifa club world cup and la liga chungu nzima....wakati Ronaldo tim yake ya taifa hajafanya chochote, teamates ndiyo wamebeba ndoo kwa msaada wa elder...Ronaldo alitoka dakika ya 8 kama sikosei. Uefa nako hivyo hivyo kama kawaida yake anasubiri atengewe afunge ikala kwake