Humble Servant
Member
- Aug 2, 2007
- 87
- 4
Balali, Rostam,Chenge,Mramba, Mgonja, Rutabanzibwa, Mkono,EL, Karamagi.Majina bado tu? Tunataka kuwajua hao mafisadi
Balali, Rostam,Chenge,Mramba, Mgonja, Rutabanzibwa, Mkono,EL, Karamagi.Majina bado tu? Tunataka kuwajua hao mafisadi
It is about high time, wa-Tanzania tukaanza kuongea siasa ya kweli, kwa kuwasema wazi hao mafisadi na waliyoyafanya,
ndio maana mimi siku hizi situmii majina ya el na en sijui, nimeamua liwalo na liwe, ni kuwataja kwa majina yao ya kweli tu, maana either we are with them mafisadi, au we are not!
na kama we are not basi dawa ni Kumkoma Nyani Giladi Let Chip Fall Where They May! Liwalo na liwe enough!
mkjj,
napena kuuliza hivi,
kumekuwa na tuhuma nying dhidi ya serikali pamoja na taasisi zake lakini serikali imeendelea kuzipuuza au kutoa ahadi zisizo kuwa na ufanisi,na pale ambapo zimejibiwa majibu yake yamekuwa sio ya kuridhisha.
Je ni hatua gani viongozi wa upinzani pamoja na wanasheria wanaweza kuzichukua ili kurekebisha hali hiliyopo.
Mwanakijiji nilijua utataka kusikia data za Lowassa..
Lakini naona itakuwa muhimu Dr. Slaa akizungumzia mambo ya Mkapa pia...
Mazee hiyo itakuwa bab kubwa...
Sasa leo itabidi nianze mapema na hapa Alize naona imeisha so ngoja nikimbie liqor store...si unajua tena ndo mambo ya wikendi hayo
nikumbushe ile namba yetu
Kama majina yametajwa na Dr. Slaa kwa nini tusubiri hiyo live yenu... publish name... story zingine baadaye!
Tumetajiwa Watu hawa na Mh. Slaa kuwa ndio Vigogo wa Ubadhirifu Tanzania,na kwa maelezo yake ni watu ambao wanapaswa kutoa majibu kwa Tuhuma zinazowakabili.Majina ni mazito na Mh.Slaa anaendelea kutoa somo Dhidi yao!!Naweka majina yao hapa Waungwana!
1;Dr. Daud Balali.
2;Andrew Chenge.
3;Basil Mramba.
4;Gray Mgonja.
5;Patrick Lutabanzibwa.
6;Nimrod Mkono.
7;Edward Lowassa.
8;Rostam Aziz.
9;Nazir Karamagi.
10;Benjamin Mkapa.
11;Jakaya M. Kikwete.
Sababu haijulikani,lakini list ipo kwenye mlolongo huo,naona Waheshimiwa marais wamewekwa mwisho!
Sikiliza LIVE kwenye Bongo Radio utamsikia mwenyewe Dr Slaa akiongelea kuhusu hii ishu.MAJINA KAYATAJA NANI? NAAMINI WAPO AMBAO MMEREKODI HII INTERVIW SASA KILICHOBAKI TUNATAKA USHAHIDI THEN TUITE MA LAWYERS
Sikiliza LIVE kwenye Bongo Radio utamsikia mwenyewe Dr Slaa akiongelea kuhusu hii ishu.
unasema Majina Kayataja Nini!? Naamini Wapo Ambao Mmerekodi Hii Interviw Sasa Kilichobaki Tunataka Ushahidi Then Tuite Ma Lawyers
Kwani lazima MWANAKIJIJI AFANYE HII INTERVIEW LIVE?
Spoila acha masihara.Kwenye digital age hii tulonayo bado unataka kitu cha jana ukisikie keshokutwa?You must be kidding!!!