Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
Ninavyoamini ni kwamba watu hubadilika kitabia na kifikra pia. Sasa ndugu zangu wana JF naombeni mnisaidie je, ile list of shame iliyosomwa mwembe yanga bado ipo vilevile na members wake wa awali au members wamepungua, au wameongezeka?
Lingine ni kuhusu mafisadi wa elimu waliorodheshwa kwenye kitabu cha bw. Kainerugaba msemakweli. Je, wale mafisadi hawajafanya jitihada za kutafuta certificates ambazo ni genuine? Nakumbuka mheshimiwa lukuvi alikuwemo kwenye hiyo list pia.
Asanteni
Lingine ni kuhusu mafisadi wa elimu waliorodheshwa kwenye kitabu cha bw. Kainerugaba msemakweli. Je, wale mafisadi hawajafanya jitihada za kutafuta certificates ambazo ni genuine? Nakumbuka mheshimiwa lukuvi alikuwemo kwenye hiyo list pia.
Asanteni