Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,440
- 113,449
No nilijisahau tuu kuhusu mwezi huu, swaumu huwa zinawaperekesha sana baadhi ya watu, wakati wa mwezi huu badala ya akili yao kuwatuma kuwaza mambo ya ibada, kutokana na kushikwa njaa, akili zao zina cease hivyo kujikuta sio tuu wanawaza ujinga mtupu, bali wanaandika ujinga na kuuliza maswali ya kijinga ambao nao ni ujinga mtupu!.Naona wakongwe mnaparuana, sio mbaya siku moja moja.
Paskali