Atafikisha miaka 30 mwezi Agosti.Nahitaji kujua umri wa polepole, sidhani kama anakosa miaka 54.....anyway najua atakimbia mdahalo tu
Atafikisha miaka 30 mwezi Agosti.Nahitaji kujua umri wa polepole, sidhani kama anakosa miaka 54.....anyway najua atakimbia mdahalo tu
Hata mimi nina wasiwasi maana sasa keshakuwa kahaba wa kisiasa matendo yake tu huwezi kuamini kama ndiye yule wa wakati ulePolepole atashiriki kweli!!!
Teh teh teh teh!Kama wote watahudhuria basi gari la fire liwe karibu
Hata mimi nina wasiwasi maana sasa keshakuwa kahaba wa kisiasa matendo yake tu huwezi kuamini kama ndiye yule wa wakati ule
Intelejensia ambayo haioni kibiti kinaendelea nini zaidi ya upinzani tuIntelejensia itasema kuna uvunjifu wa amani
Polepole nini au!!TL nirsoma nae jamaaa nirkuwa namkimbiza sema saiz cio level zangu
Ha ha ha ha haaaa ..ccm midahalo kwao ni sawa na kuwaambia waende kibiti kuimba iyena iyena wakat hali sio nzr kwao
kijana mzeeNahitaji kujua umri wa polepole, sidhani kama anakosa miaka 54.....anyway najua atakimbia mdahalo tu
Ni wapi uliposoma kuwa huo ni "mdahalo"?Polepole hatoshiriki huo mdahalo, labda lisu atolewe kwenye orodha