James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
Katika dunia ya leo watu wanaishi kwa kutegemeana sana na Tundu Lissu yuko sahihi kabisa kwa kusema sisi tunawahitaji "mabeberu" zaidi kuliko wao wanavyotuhitaji sisi.
Halafu hao "mabeberu" wana pombe tamuu! Kama unawachukia kweli acha kunywa Courvoisier na Jack Daniels hamia kwenye pombe ya mnazi au chibuku! Mimi nazipiga za "mabeberu", wewe ukizira wenzako twala.
Jamani, Ijumaa njema 👍🏽👍🏽
Halafu hao "mabeberu" wana pombe tamuu! Kama unawachukia kweli acha kunywa Courvoisier na Jack Daniels hamia kwenye pombe ya mnazi au chibuku! Mimi nazipiga za "mabeberu", wewe ukizira wenzako twala.
Jamani, Ijumaa njema 👍🏽👍🏽