Lissu: Waziri Mkuu azindua Kituo cha Afya kilichojengwa na wezi wetu Acacia

Yaani Lissu anatamani ACCACIA wangegoma kufanya kila kitu. Ama wangeishitaki TZ yetu. Haa.. unaambiwa ndugu wakigombana chukua jembe ukalime.
 
jamani nyie watu mi siwaelewi nyie si ndo mlikuwa wakwanza kusema tutafungwa leo hii mnaendelea kusema ni wezi kweli masikni akipa makalio hulia mbwata. kila kitu ni maneno ndo maana mzee baba anakuwa mkali nilikuwa cjui
 
Hizo kashfa bora uziache, Lissu anatembelea magongo sawa lakini mwanaCCM mwenzako Prof. Maji Marefu yupo kuzimu hivi tunavyoongea, uwe makini sana.
Hiyo haibadilishi ukweli kwamba Lisu bado anachechemea na magongo huko Ubelgiji. Au vipi?
 
Lissu naona ameanza kupata nafuu, tunamuombea azidi kuendelea kupata nafuu.

Kuhusu hili la WM kufungua Hospitali, ni kujitafutia kiki za kisiasa, Acacia wamejenga hiyo hospitali kwa pesa Walizozipata kwenye Ardhi NA mali zetu, tutachukua chochote like chenye manufaa kwa wananchi wetu.

Hivyo Lissu anavyoona hawa wanyonyaji kweli wangejenga hospitali kama walikuwa hawa hawapati faida kubwa kwenye machimbo yetu.

Ama ndugu Lissu analipa fadhila ya Acacia kwa mchango wao mkubwa katika gharama za matibabu yake. NA huo ni uzalendo aina mpya kabisa
Hopeless argument from a hopeless mind.

Hivi ni lini Lisu amewahi kutibiwa hata kwa senti moja ya Acacia au Barric Tumieni akili kujibu hoja.

Kujizoesha kutotumia akili baadaye utakuwa huna akili kabisa maana mazoea hujenga tabia.
 
Makinikia yako wapi wewe masikini ? si mliahidiwa Noah nyinyi , halafu ikawaje ? ungekuwa karibu yangu ungekiona cha moto , Mnafiki mkubwa wee !

Lissu alituambia tutapelekwa Mahakamani Kwa kuzuia Makinikia, Au tunasubiri apone
Vidonda aje kuwasaidia Mahakamani?
 
Yaani Lissu anatamani ACCACIA wangegoma kufanya kila kitu. Ama wangeishitaki TZ yetu. Haa.. unaambiwa ndugu wakigombana chukua jembe ukalime.
Kama laiti watu wangejua options walizo nazo Barrick, wangejihurumia na kujidharau. Barrick kwa kila walichofanya walilenga kulinda ustawi wa Kampuni. Sisi kila tulichofanya kililenga kupata sifa.

Kwa ufupi ni kuwa option ya Acacia kwenda mahakamani hawajaiondoa na hawataiondoa leo au kesho.
 
jamani nyie watu mi siwaelewi nyie si ndo mlikuwa wakwanza kusema tutafungwa leo hii mnaendelea kusema ni wezi kweli masikni akipa makalio hulia mbwata. kila kitu ni maneno ndo maana mzee baba anakuwa mkali nilikuwa cjui
Tatizo uelewa wako mdogo,unashindwa kusoma btn lines!Mbwembwe za Kuwait's wezi zimeishia wapi?Noah zetu vp??Watupe pesa zetu kama mlivyotuaminisha!!!La sivyo Jiwe alitaka kiki tu,sasa wanashirikiana na walioutuibia
 


Anaandika Tundu Lissu katika ukurasa wake wa Instagram:-

Naona Waziri Mkuu Majaliwa anazindua Kituo cha Afya kilichojengwa kwa ufadhili wa Acacia Mining Ltd. .

Mwaka jana tuliambiwa na Rais Magufuli kwamba Acacia walikuwa wezi, wanaendesha Migodi ya Bulyanhulu na Buzwagi bila leseni, hawajasajiliwa na BRELA na wamekwepa kodi ya TAS trilioni 495, n.k. Leo Waziri Mkuu anafungua Kituo cha Afya kilichojengwa na Acacia. .

Nilisema bungeni mwaka jana kwamba Magufuli na watu wake wanatudanganya; kuwa Ripoti za Maprofesa Mruma na Osoro ni 'professorial rubbish', kwamba hawa wachimba dhahabu hawatatulipa chochote tunachoambiwa tunawadai. .

Leo nani anayeweza kusema hatukudanganywa na Magufuli. Badala ya trilioni 495 ni Kituo cha Afya. Na Magufuli atuambie makinikia yaliyokuwa yanashikiliwa bandarini kwa amri yake yako wapi na kama yamelipiwa ushuru aliosema tutalipwa!!!

watanzania wengi elimu yao ni ya vyeti ndio maana wanapodanganywa na wasio enda shule tena mbumbumbu hushawishika haraka na wengi wao huchekelea hata wale wenye elimu za degree na PHD ,wachache kama akina LISU wanapohoji ndio utaona vizabizabina wanakuja juu na kutoa kashfa ili kuwanufaisha wachache wanaofaidika,watz tutakuwa wajinga sana hadi kiama.hongereni akina TL mnaojitoa na kusemea wachache huu ukweli,hii ni nchi ya mikurupuko tu
 
Huyu lissu na washabiki wake akili zao nadhani zipo kwenye makalio!! Kwani Acacia hawawezi kujirekebisha baada ya sekeseke lao na serikali? So lissu alitegemea baada ya acacia kuambiwa ni wezi basi wangerespond kwa kuleta vifaru kupigana na tz??!! Pumbavu kabisa!! Lisu badilika, fikiri nje ya box.
495 Trillion zimelipwa? If yes ziko wapi,, if not zimefikia wapi process hizo..

Una akili ndogo ndio maana unashindwa kuelewa maneno kidogo ya Lissu
 
Hayo mambo yalishaongelewa, maongezi yalishafanyika na hata Boss wa Barrick alishakuja hapa Bongo tena zaidi ya mara moja, hivyo bado sioni uhusiano hapo, Acacia bado ni wawekezaji TZ, wameajiri Watz na huo ni mchango wao kwa jamii iliyowazunguka, sioni tatizo hapo la kumtoa mtu ICU kuwahi mitandaoni kuandika alivyoandika!
sasa kampuni isiyosajiliwa inatoaje mchango kwa jamii na huo mchango uwe halali mkuu? embu toa kaufafanuzi mwenzetu. pia lisu hayupo ICU . yupo wodi za kawaida anauguza vidonda
 
Kama laiti watu wangejua options walizo nazo Barrick, wangejihurumia na kujidharau. Barrick kwa kila walichofanya walilenga kulinda ustawi wa Kampuni. Sisi kila tulichofanya kililenga kupata sifa.

Kwa ufupi ni kuwa option ya Acacia kwenda mahakamani hawajaiondoa na hawataiondoa leo au kesho.
Nenda ukatibiwa kwenye hicho kituo cha afya kwanza.
 
Back
Top Bottom