IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,184
- 7,819
Kwanza wewe umetawaliwa na chuki binafsi dhidi ya Lissu, possibly due to political ideology au misimamo yake. Hivyo badala ya kuiangalia na kuipima hoja yake wewe inapambana na chuki dhidi yake. Assume for the moment, hiyo hoja kaizungumza JPM au Kikwete halafu ipime...Tundu Lissu asitufanye wajinga kiasi hicho. China wanajua Kiingereza? Ujinga mtupu wala hatupotezi muda na mjiinga huyo, ajenda yetu kwa sasa ni kukiweka Kiswahili lugha ya Kwanza Afrika halafu yeye anatuletea upupu. We want to make Tanzania great nation, Kiswahili ni ajenda kuu.