Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,139
- 56,600
Mimi wangu wanasoma kwa Kiingereza la kwanza mpaka univ. Sasa tuachane na kiswahili.Kiswahili kasomeshe wanao.
Mimi wangu wanasoma kwa Kiingereza la kwanza mpaka univ. Sasa tuachane na kiswahili.Kiswahili kasomeshe wanao.
Umenifanya nicheke kwa nguvu wananishangaa!🤣🤣🤣Kiukweli sijuagi hata anaongea lugha gani yule mzee!
Mara nitawabomolesha, mara nitawafanyizia maendeleo....... fontifedi...kirometa...
Sielewagi hata anachoongea.
Acha uongo China kwenye elimu ya juu wanafundisha kwa kutumia Kiingereza ndiyo maana Watz na Waafrika wanasoma huko!! Jamani za kuambiwa changanga na zako!!Mbona hamuelewi nyie MaCCM..wachina lugha yao ya kufundishia ni kichina...na sisi tuamue iwe kiswahili au English..mfano ukiwa Ulaya ni United Kingdom tu ndio wanaotumia kiingereza...nchi nyingine zote wanatumia lugha zao...
Kuwa na heshima kwa Lugha yetu tafadhali.....kiswahili kikue SADC itumie hii lugha, rubbish? lugha ya kingereza ni lugha ya kidunia,inatamkwa na nchi karibia zote duniani,kwa nini mjilimit na opportunities za SADC.. wakati mngeweza ku enjoy..dunia
Kiingereza ndio mpango mzima. Kiswahili chenyewe kilikuja na waarabu pia.Jitambue dada acha kufiView attachment 1564553kiri kitumwa kama alivyo sema mzungu huyu hapa karne ya 17.
Kuwa na heshima kwa Lugha yetu tafadhali.....
Usitumie hilo neno ni kulitusi taifa letu.
Hapa tu huwezi hata kuandika sentensi moja ya kiingereza! Sisi tunataka tuendelee na kiswahili chetu ndiyo maana sasa tumeamua kitumike Afrika na baadae iwe lugha ya bara la Afrika sasa huyo msaliti anataka kuturudisha nyuma atawapata wajinga wenzake!! Chadema wekeni kwenye ilani yenu !Mimi wangu wanasoma kwa Kiingereza la kwanza mpaka univ.Sasa tuachane na kiswahili.
Ndiyo maana tumeshasema Urais wa TZ mtausikia tu kwenye radio!!Kingereza ndo mpango mzima. Kiswahili chenyewe kilikuja na waarabu pia.
Kinge nilipata Msonge form four ,halafu nishindwe kuandika sentensi ?SASA WHY WATOTO WENU MNAWAPELEKA FEZA ENGLISH ACADEMY ?Hapa tu huwezi hata kuandika sentensi moja ya kiingereza! Sisi tunataka tuendelee na kiswahili chetu ndiyo maana sasa tumeamua kitumike Afrika na baadae iwe lugha ya bara la Afrika sasa huyo msaliti anataka kuturudisha nyuma atawapata wajinga wenzake!! Chadema wekeni kwenye ilani yenu !
Nadhani hajaelewa. Hii ndiyo shida ya kukurupuka kujibu kabla ya kutulia na kutafakari. Ni kama vile inavyokuwa katika mazungumzo.Mkuu hivi umeelewa anachosema Tundu lisu au umekurupuka kujibu tu.
Cha ajabu mwenyekiti wa SADC hajui Kiswahili, achilia mbali kujua Kiswahili fasaha.kiswahili kikue SADC itumie hii lugha, rubbish?
Kwa sababu sera yetu TZ inaruhusu sasa huyu msaliti Lissu anataka tuwe na lugha moja ya mabwana zake ya Kiingereza!! Huyu atausikia tu Urais.Kinge nilipata Msonge form four ,halafu nishindwe kuandika sentensi ?SASA WHY WATOTO WENU MNAWAPELEKA FEZA ENGLISH ACADEMY ?
Hujui lolote wewe !!. Hata Mwl Nyerere alijilaumu kukitupa English . Aliyoiita mwenyewe kama "KISWAHILI CHA DUNIA".Kwa nini uwe bubu labda kama hujiamini? Wachina wanakuja hapa nchini hawajui kiingereza hata kiswahili lakini baada ya miezi michache tu wanaongea kiswahili. Wanafunzi kule Soweto walipambana kupinga kutumia Lugha ya Makaburu mashuleni ingekuwa ni nyinyi wanasaccos mngelikubali tu kwa sababu ya kutojitambua. Jua kuwa unapozungumza kuhusu utamaduni ni pamoja na lugha yako. Wanasema mdharau utamaduni wake ni mshenzi sasa ukipata mgombea urais anapigania lugha ya wengine huyo hafai kuwa kiongozi katika jamii hiyo!! Hakupashwa kabisa kuongelea hilo wakati huu!!
Kama unajua hivyo basi huyo kibaraka wenu hasiwacheke wale wanaoongea kiingereza vibaya maana ata hao wazungu mnao wanyenyekea wakiongea kiswahili kibovu hakuna anaye wacheka. Sana sana mnajipongeza kuwa mzungu amejitahidi.Mbona hamuelewi nyie MaCCM..wachina lugha yao ya kufundishia ni kichina...na sisi tuamue iwe kiswahili au English..mfano ukiwa Ulaya ni United Kingdom tu ndio wanaotumia kiingereza...nchi nyingine zote wanatumia lugha zao...
Yule kilaza hajui lugha yoyote kwa ufadaha ukiondoa KisukumaMagufuli atapinga, na wakati huo huo hajui Kiswahili wala Kingeresa.
Ndugu hili nakukatalia kabisa, tena nakataa huku napiga kelele.Unajua kuwa sheria zetu na hata hukumu zetu ni English tupu ?! Barua zetu za ki serikali na mawasiliano na dunia ni only in English !!
Duh Mheshimiwa umeelewa Kamanda Lissu anasema nini!Tundu Lissu asitufanye wajinga kiasi hicho. China wanajua kiingereza? Ujinga mtupu wala hatupotezi muda na mjiinga huyo, ajenda yetu kwa sasa ni kukiweka kiswahili lugha ya Kwanza Afrika halafu yeye anatuletea upupu.We want to make Tanzania great nation, kiswahili ni ajenda kuu