Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
- Thread starter
- #41
Mimi nashuri mfanyie fujo zenu nje ya miji, mnatesa watu bure. Kila maadamano yenu lazima yafanyike sehemu watu wana shughuli zao.
Jaribu kutoa kauli yenye kuwa na mizani, kwani waliosababisha mateso ya mtoto huyu ni viongozi wa Chadema au Polisi? Polisi wangekuwa watulivu hayo yangetokea? Mbona mkutano ulianza na kuisha kwa amani?