babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,820
- 6,517
Lissu ni mropokaji na hajali nini anasema.
Zitto ni mzuri kwa hoja ila muongo
Zitto ni mzuri kwa hoja ila muongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FafanuaHawa ni wazalendo kuliko jiwe
Kiongozi kazi maalumu inakuwa na umaalumu wake na haitajwi kwa kila mtu. Kwenye umma Kama huu unaitambulisha hivyo "kazi maalumu".Ipoje hiyo????--- ya watu wasiojulikana??
Babu na mjukuu wako, mmetishaaaaaLissu ni mropokaji na hajali nini anasema.
Zitto ni mzuri kwa hoja ila muongo
Hayo ni ya kwako kimaoni! ,lakini pia maoni hayo yamejaa uoga wa ushindani wa kisiasa,uoga wa mabadiliko,uoga wa kuona fulani hana haki tena as long as huyu kashinda, that's shame mkuu.Chama kikishashinda uchaguzi, basi wengine wote mnatakiwa kuungana kutekeleza ilani ya chama hicho. Hii ni kwasababu ilani inatekelezwa kwa watanzania wote bila kujali chama, dini au kabila.
Kuzuia au kutokutoa ushirikiano katika utekelezaji wa chama tawala ni kuihujumu nchi. Vyama vya upinzani vinatakiwa kuzunguka mikoani kipindi cha kampeni kunadi sera zake mbadala ili wachaguliwe
Zito mara miaZitto mzito
Kiongozi kazi maalumu inakuwa na umaalumu wake na haitajwi kwa kila mtu. Kwenye umma Kama huu unaitambulisha hivyo "kazi maalumu".
Karibu jioni pale kwa Mromboo tuchome mbuzi
naona mmetumwa kuja kumfundisha lissu cha kuongea kisa kawashika pabaya. MATAGA bana...na bado hadi mtokwe na damu. utamu wa lissu kwenye ujengaji wa hoja ni kama unaangalia prison break vile au money heist! hachoshi.Waungwana hebu tuwe tu wakweli bila jazba wala chuki, Kati ya viongozi wa upinzani hawa wawili, Lissu na Zitto namuona Zitto kuwa yuko vizuri sana kwenye kujenga hoja za Kisiasa.
Lissu ni mzuri sana kwenye field yake ya sheria ila kiukweli nadhani hata CHADEMA wenyewe sasa hivi watakuwa wameona, Lissu sio mjengaji mzuri wa hoja za Kisiasa. Anapitwa kwa mbali mno na Zitto.
Lissu shida yake kubwa ni ile hali ya kutokuweza kuzuia hisia zake. Anaongea kwa ukali, jazba na hasira. Hii inamkosesha ule mvuto wa kisiasa.
Nashauri timu yake ya Kampeni imsaidie ili wananchi tuweze kumfuatilia vizuri na kufanya maamuzi sahihi.
Siasa sio mabishano ya kimahakama. Hapa tunataka hoja za msingi zinazowasilishwa kwa ufundi. Namna gani pale TAL?
Amani Msumari
Tanga (kwasasa Arusha kwa kazi maalumu)
Lacasa de Papel. Profesa, Nairobi.......money heist
Kwahiyo hoja sio jamho la msingi kiviiile?
Hahahaaa..... Sawa mkuuLissu na Nyerere ni watu wawili tofauti kabisa,hata Lissu asingependa kufananishwa na mwalimu.
Sawa kwa maoni yako...Kwa kigezo kipi? Mwalimu Nyerere (God rest his soul in eternal peace) alikuwa haendeshwi na emotion kwenye kuongea. Yule alikuwa fundi kwelikweli