Lissu Vs Zitto: Nani mkali wa kujenga hoja za kisiasa?

Ukiacha makandokando mengine, Zitto kwenye hoja ni heavy weight! Anavutia, anajua kuchambua complex issues hasa za kiuchumi!

Lissu ni wakili mzuri Sana na he can make the best mwanasheria wa serikali!

Ukiwaweka jukwaa la siasa, Zitto is far better than Tundu!
Huo ndio ukweli mweupeeee
 
Cheamani ni mkomavu wa kisiasa

Yeah, credit to Mbowe, at last. Ukomavu huo ndio unaomuwezesha kutambua na kupendekeza vipaji sahihi kwa nafasi maalum. Kama Lissu na Mwalimu kupeperusha bendera ya CHADEMA kwenye nafasi ya u-Rais/MR.
 
Lazaro jee?
Yeah, credit to Mbowe, at last. Ukomavu huo ndio unaomuwezesha kutambua na kupendekeza vipaji sahihi kwa nafasi maalum. Kama Lissu na Mwalimu kupeperusha bendera ya CHADEMA kwenye nafasi ya u-Rais/MR.
 
Waungwana hebu tuwe tuu wakweli bila jazba wala chuki, Kati ya viongozi wa upinzani hawa wawili, Lissu na Zitto namuona Zitto kuwa yuko vizuri sana kwenye kujenga hoja za Kisiasa.

Lissu ni mzuri sana kwenye field yake ya sheria ila kiukweli nadhani hata CHADEMA wenyewe sasa hivi watakuwa wameona, Lissu sio mjengaji mzuri wa hoja za Kisiasa. Anapitwa kwa mbali mno na Zitto.

Lissu shida yake kubwa ni ile hali ya kutokuweza kuzuia hisia zake. Anaongea kwa ukali, jazba na hasira. Hii inamkosesha ule mvuto wa kisiasa.

Nashauri timu yake ya Kampeni imsaidie ili wananchi tuweze kumfuatilia vizuri na kufanya maamuzi sahihi.

Siasa sio mabishano ya kimahakama. Hapa tunataka hoja za msingi zinazowasilishwa kwa ufundi. Namna gani pale TAL?

Amani Msumari

Tanga (kwasasa Arusha kwa kazi maalumu)
Mbona umemsahau Mwenyekiti wenu Jiwe?
 
Waungwana hebu tuwe tuu wakweli bila jazba wala chuki, Kati ya viongozi wa upinzani hawa wawili, Lissu na Zitto namuona Zitto kuwa yuko vizuri sana kwenye kujenga hoja za Kisiasa.

Lissu ni mzuri sana kwenye field yake ya sheria ila kiukweli nadhani hata CHADEMA wenyewe sasa hivi watakuwa wameona, Lissu sio mjengaji mzuri wa hoja za Kisiasa. Anapitwa kwa mbali mno na Zitto.

Lissu shida yake kubwa ni ile hali ya kutokuweza kuzuia hisia zake. Anaongea kwa ukali, jazba na hasira. Hii inamkosesha ule mvuto wa kisiasa.

Nashauri timu yake ya Kampeni imsaidie ili wananchi tuweze kumfuatilia vizuri na kufanya maamuzi sahihi.

Siasa sio mabishano ya kimahakama. Hapa tunataka hoja za msingi zinazowasilishwa kwa ufundi. Namna gani pale TAL?

Amani Msumari

Tanga (kwasasa Arusha kwa kazi maalumu)
Mbwa kala mbwa
 
Waungwana hebu tuwe tuu wakweli bila jazba wala chuki, Kati ya viongozi wa upinzani hawa wawili, Lissu na Zitto namuona Zitto kuwa yuko vizuri sana kwenye kujenga hoja za Kisiasa.

Lissu ni mzuri sana kwenye field yake ya sheria ila kiukweli nadhani hata CHADEMA wenyewe sasa hivi watakuwa wameona, Lissu sio mjengaji mzuri wa hoja za Kisiasa. Anapitwa kwa mbali mno na Zitto.

Lissu shida yake kubwa ni ile hali ya kutokuweza kuzuia hisia zake. Anaongea kwa ukali, jazba na hasira. Hii inamkosesha ule mvuto wa kisiasa.

Nashauri timu yake ya Kampeni imsaidie ili wananchi tuweze kumfuatilia vizuri na kufanya maamuzi sahihi.

Siasa sio mabishano ya kimahakama. Hapa tunataka hoja za msingi zinazowasilishwa kwa ufundi. Namna gani pale TAL?

Amani Msumari

Tanga (kwasasa Arusha kwa kazi maalumu)
Kwa mlivyo zidiwa na hoja mujarabu za Mh. Rais wa awamu ya 6, Mh. T. A. M. Lissu,sipati picha mkiwa vyumbani na waume zenu,ni full mizuka ya "Lissuuuuu" .
Lissu ni ZZK wawili na nusu.
Lissu ni "jiwe" tani 10000.
Lissu ni mikungu ya ndizi mia tano ya muuza ndizi aliye na PhD.
Lissu ni chakubanga 800.
Lissu ni wanambogamboga 4.8 milioni.
 
Kwa mlivyo zidiwa na hoja mujarabu za Mh. Rais wa awamu ya 6, Mh. T. A. M. Lissu,sipati picha mkiwa vyumbani na waume zenu,ni full mizuka ya "Lissuuuuu" .
Lissu ni ZZK wawili na nusu.
Lissu ni "jiwe" tani 10000.
Lissu ni mikungu ya ndizi mia tano ya muuza ndizi aliye na PhD.
Lissu ni chakubanga 800.
Lissu ni wanambogamboga 4.8 milioni.
Man and a half. Sawa
 
Watanzania wengi hawajali hoja za kisiasa,wanaongozwa na hisia zaidi.
Waungwana hebu tuwe tuu wakweli bila jazba wala chuki, Kati ya viongozi wa upinzani hawa wawili, Lissu na Zitto namuona Zitto kuwa yuko vizuri sana kwenye kujenga hoja za Kisiasa.

Lissu ni mzuri sana kwenye field yake ya sheria ila kiukweli nadhani hata CHADEMA wenyewe sasa hivi watakuwa wameona, Lissu sio mjengaji mzuri wa hoja za Kisiasa. Anapitwa kwa mbali mno na Zitto.

Lissu shida yake kubwa ni ile hali ya kutokuweza kuzuia hisia zake. Anaongea kwa ukali, jazba na hasira. Hii inamkosesha ule mvuto wa kisiasa.

Nashauri timu yake ya Kampeni imsaidie ili wananchi tuweze kumfuatilia vizuri na kufanya maamuzi sahihi.

Siasa sio mabishano ya kimahakama. Hapa tunataka hoja za msingi zinazowasilishwa kwa ufundi. Namna gani pale TAL?

Amani Msumari

Tanga (kwasasa Arusha kwa kazi maalumu)
 
Waungwana hebu tuwe tuu wakweli bila jazba wala chuki, Kati ya viongozi wa upinzani hawa wawili, Lissu na Zitto namuona Zitto kuwa yuko vizuri sana kwenye kujenga hoja za Kisiasa.

Lissu ni mzuri sana kwenye field yake ya sheria ila kiukweli nadhani hata CHADEMA wenyewe sasa hivi watakuwa wameona, Lissu sio mjengaji mzuri wa hoja za Kisiasa. Anapitwa kwa mbali mno na Zitto.

Lissu shida yake kubwa ni ile hali ya kutokuweza kuzuia hisia zake. Anaongea kwa ukali, jazba na hasira. Hii inamkosesha ule mvuto wa kisiasa.

Nashauri timu yake ya Kampeni imsaidie ili wananchi tuweze kumfuatilia vizuri na kufanya maamuzi sahihi.

Siasa sio mabishano ya kimahakama. Hapa tunataka hoja za msingi zinazowasilishwa kwa ufundi. Namna gani pale TAL?

Amani Msumari

Tanga (kwasasa Arusha kwa kazi maalumu)
Fact, regard on your mind

Kwa upande wng, wote wazur kweny hoja ila kinachowatofautisha ni professionalism zao (viatu vya Lissu hawez kuvaa Zitto, the same Viatu vya Zitto hawezi Kuvaa Lissu) ila wakikaa pa1 aiseee ni balaaaaaaa la dunia.

A person From Tandahimba
 
Back
Top Bottom