Wenyewe wanatumia vyombo vya nje,waendelee hivyohivyoVyombo vya habari vipo kwa maslahi yao binafsi, taifa, na si kuifurahisha chadema
Basi sitawalaumu tena, my apologyHii ni hatari.. wajumbe sio watu.View attachment 1531043
Basi mmeshindwa kuwa na on line tvVyombo vya habari vimetekwa na ccm
Basi mmeshindwa kuwa na on line tv
Kila siku mnatangaza kuvisusia na kila siku mnang'ang'ania kuviangalia.Vyombo vya habari wanajimaliza wenyewe
Vyombo vya habari vipo kwa maslahi yao binafsi, taifa, na si kuifurahisha chadema
Kila siku mnatangaza kuvisusia na kila siku mnang'ang'ania kuviangalia.
Vyombo vya habari, havijatekwa na ccm, bali vinaona kazi nzuri zinazofanywa na ccm, sio porojo za visasi vya chizi
Chadema chama kubwa. Vipi mshindwe kuwa na TV station yenu na mng'ang'anie za wenzenu?Kwani watu wanaangalia kwakuwa wanavipenda au ni hawana mbadala? Ukiongea na wenye vyombo vya habari, kwa hofu kubwa wanakiri kabisa kuwa wanawekewa vitisho kuwa wasitangaze wapinzani, bali wamtangaze jiwe na chama chake. Hizi ni tabia za kawaida kabisa katika nchi za kidictator.