Lissu usirudi kwanza mpaka msiba uishe na ni busara pia mkutano mkuu wa CHADEMA uhailishwe

GRAMAA

JF-Expert Member
Nov 1, 2014
1,155
3,399
CHADEMA walipanga kufanya matukio makubwa sana ndani ya mwezi huu wa saba.

i/ Ujio wa Tundu Lissu siku ya Jumatatu(27/07/2020) kama sijakosea siku.

ii/ Mkutano mkuu wa CHADEMA wa tarehe 29/07/2020 kama sijakosea siku ili kumchagua mgombea wa urais atakaye chuana na Magufuli.

Sasa hili matukio haya yalete maana iliyokusudiwa na CHADEMA basi ni bora yote yahailishwe ili kupisha kwanza msiba uishe.

Please Lissu usirudi kwanza mpaka msiba uishe ili nchi iwe imetulia ndiyo urudi.
 
Chadema walipanga kufanya matukio makubwa sana ndani ya mwezi huu wa saba.

i/ Ujio wa Tundu Lissu siku ya jumatatu(27/07/2020) kama sijakosea siku.

ii/ Mkutano mkuu wa chadema wa tarehe 29/07/2020 kama sijakosea siku ili kumchagua mgombea wa urais atakaye chuana na Magufuli.

Sasa hili matukio haya yalete maana iliyokusudiwa na CHADEMA basi ni bora yote yahailishwe ili kupisha kwanza msiba uishe.

please Lissu usirudi kwanza mpaka msiba uishe ili nchi iwe imetulia ndiyo urudi.

Ana ticketi mkononi. Lazima arudi, labda mkutano mkuu usogezwe mbele baada ya mazishi ya Mzee Mkapa.
 
Lissu anarudi, anapata attention zaidi ya ilivyotarajiwa na msiba unaendelea kama kawaida.

Lissu kwa sasa ni tunu ya taifa huwezi kupona kifo kwa nguvu za Mungu mbele ya risasi 38 zilizopigwa kwenye gari yako na 16 kukuingia mwilini alafu uwe mtu wa kawaida na watu wasikufuatilie . Never on earth.
Na vyovyote vile Tundu Lissu ndo Raisi wa Jamhuri ya muungano Tanzania hapo October 2020.
 
Chadema walipanga kufanya matukio makubwa sana ndani ya mwezi huu wa saba.

i/ Ujio wa Tundu Lissu siku ya jumatatu(27/07/2020) kama sijakosea siku.

ii/ Mkutano mkuu wa chadema wa tarehe 29/07/2020 kama sijakosea siku ili kumchagua mgombea wa urais atakaye chuana na Magufuli.

Sasa hili matukio haya yalete maana iliyokusudiwa na CHADEMA basi ni bora yote yahailishwe ili kupisha kwanza msiba uishe.

please Lissu usirudi kwanza mpaka msiba uishe ili nchi iwe imetulia ndiyo urudi.
Naunga mkono hoja CDM subiri maigizo ya ccm yao yaishe, ndo ratiba iendelee
 
Lissu anarudi, anapata attention zaidi ya ilivyotarajiwa na msiba unaendelea kama kawaida.

Lissu kwa sasa ni tunu ya taifa huwezi kupona kifo kwa nguvu za Mungu mbele ya risasi 38 zilizopigwa kwenye gari yako na 16 kukuingia mwilini alafu uwe mtu wa kawaida na watu wasikufuatilie . Never on earth.
Na vyovyote vile Tundu Lissu ndo Raisi wa Jamhuri ya muungano Tanzania hapo October 2020.
Nakubaliana kwamba aahirishe ujio wake kwa wiki 2 hivi na hata mkutano mkuu CDM upelekwe mbele wiki 2 hali iwe shwari ili kishindo cha umma kisikike dunia nzima.
Chadema walipanga kufanya matukio makubwa sana ndani ya mwezi huu wa saba.

i/ Ujio wa Tundu Lissu siku ya jumatatu(27/07/2020) kama sijakosea siku.

ii/ Mkutano mkuu wa chadema wa tarehe 29/07/2020 kama sijakosea siku ili kumchagua mgombea wa urais atakaye chuana na Magufuli.

Sasa hili matukio haya yalete maana iliyokusudiwa na CHADEMA basi ni bora yote yahailishwe ili kupisha kwanza msiba uishe.

please Lissu usirudi kwanza mpaka msiba uishe ili nchi iwe imetulia ndiyo urudi.
Ana ticketi mkononi. Lazima arudi, labda mkutano mkuu usogezwe mbele baada ya mazishi ya Mzee Mkapa.
Tiketi tutampa nyingine Kwan shngapi
 
Naunga mkono hoja CDM subiri maigizo ya ccm yao yaishe, ndo ratiba iendelee

Mkuu sina tatizo na matamanio yako, ila kama ni ticket anayo mkononi, je ww atakupata wapi umpatie ticketi nyingine? Wangalau mkutano unaweza kusogezwa mbele, lakini sio kuacha kurudi. Na sitegemei kama vyombo vya dola vitakubali apokelewe kama utakavyo.
 
Naunga mkono hoja CDM subiri maigizo ya ccm yao yaishe, ndo ratiba iendelee

Mkuu uko serious? Arudi baada ya wiki huku huna uhakika kama hizo mbwembwe za kumpokea zitaruhusiwa? Unajua muda wa kuchukua fomu ya urais na kuirudisha? Je akija baada ya wiki 2 ataendelea kuwa kwenye ratiba ipasavyo? Kumbuka hapo mkutano mkuu itabidi usubiri kwa mujibu ya matamanio yako. Je ni lini mkutano mkuu utafanyika, na kisha achaguliwe? Je una uhakika ni yeye atachaguliwa na chama kugombea urais? Tuwe realistic zaidi.
 
Chadema walipanga kufanya matukio makubwa sana ndani ya mwezi huu wa saba.

i/ Ujio wa Tundu Lissu siku ya jumatatu(27/07/2020) kama sijakosea siku.

ii/ Mkutano mkuu wa chadema wa tarehe 29/07/2020 kama sijakosea siku ili kumchagua mgombea wa urais atakaye chuana na Magufuli.

Sasa hili matukio haya yalete maana iliyokusudiwa na CHADEMA basi ni bora yote yahailishwe ili kupisha kwanza msiba uishe.

please Lissu usirudi kwanza mpaka msiba uishe ili nchi iwe imetulia ndiyo urudi.
Kashakata tiketi lazima aje na msibani lazma audhurie
 
Lissu anarudi, anapata attention zaidi ya ilivyotarajiwa na msiba unaendelea kama kawaida.

Lissu kwa sasa ni tunu ya taifa huwezi kupona kifo kwa nguvu za Mungu mbele ya risasi 38 zilizopigwa kwenye gari yako na 16 kukuingia mwilini alafu uwe mtu wa kawaida na watu wasikufuatilie . Never on earth.
Na vyovyote vile Tundu Lissu ndo Raisi wa Jamhuri ya muungano Tanzania hapo October 2020.
Amina! Unakuja nyundo kulivunja vunja jiwe la Chatto!

Atakuja tu, hakuna kusogeza mbele tarehe ya kuwasili kwake, bora mkutano mkuu ndo usogee mbele Ila mwamba lazima aje!

Mungu mbariki Lissu, Mungu ibariki Chadema
 
Chadema walipanga kufanya matukio makubwa sana ndani ya mwezi huu wa saba.

i/ Ujio wa Tundu Lissu siku ya jumatatu(27/07/2020) kama sijakosea siku.

ii/ Mkutano mkuu wa chadema wa tarehe 29/07/2020 kama sijakosea siku ili kumchagua mgombea wa urais atakaye chuana na Magufuli.

Sasa hili matukio haya yalete maana iliyokusudiwa na CHADEMA basi ni bora yote yahailishwe ili kupisha kwanza msiba uishe.

please Lissu usirudi kwanza mpaka msiba uishe ili nchi iwe imetulia ndiyo urudi.
Well thought!!!
 
Anayeshauri ujio uhairishwe, amejiuliza taratibu za NEC na tarehe ya mwisho ya chama cha siasa kupeleka jina la mgombe urais, ubunge na udiwani?

Au mnaangalia mapokezi tu na kusahau Lissu anaweza kutoruhusiwa kupitishwa akiwa nje ya nchi??

Ninapata hisia msiba huu utatumiwa kuzuia mapokezi ya Lissu na hata atachukuliwa na polisi kwa kisingizio cha kuzuia mikusanyiko ya watu, halafu atafikishwa polisi kwa amri ya mahakama kujibu dhamana na kesi zake!! Huyu anayeshauri kusiwe na maandamano anajua vizuri kilichopangwa!!
 
Anayeshauri ujio uhairishwe, amejiuliza taratibu za NEC na tarehe ya mwisho ya chama cha siasa kupeleka jina la mgombe urais, ubunge na udiwani?

Au mnaangalia mapokezi tu na kusahau Lissu anaweza kutoruhusiwa kupitishwa akiwa nje ya nchi??

Ninapata hisia msiba huu utatumiwa kuzuia mapokezi ya Lissu na hata atachukuliwa na polisi kwa kisingizio cha kuzuia mikusanyiko ya watu, halafu atafikishwa polisi kwa amri ya mahakama kujibu dhamana na kesi zake!! Huyu anayeshauri kusiwe na maandamano anajua vizuri kilichopangwa!!
Hawa wanaoahauri wala sio chadema. Ni wana Lumumba kindakindaki
 
Back
Top Bottom