Kwa mabli nakubaliana na wewe mkuu maana choko choko hazitaisha iwapo atabaki chadema... kila siku atataka awe kwenye headlines za magazeti ... kama noma na iwe noma ... afukuzwe moja kwa moja na hao wafuasi wake wote ... mimi naamin approach waliyotumia akina mkumbo ya kuandaa waraka ule bado ni ya kisaliti na ki uwoga ... kama kweli wana hoja wameshindwa nini kuwasilisha chamani? hata kama wana hoja lakini wameonesha udhaifu wa hali ya juu wa kutofuata taratibu rasmi za chama ... i am utterly disappointed by them ... sharti la kusamehewa ni waombe msamaha hadharani kwa viongozi na wana chadema wote waliodhurika na kashi kashi hizi
Mkuu kwa heshima, uhai na uthabiti wa chadema, njia ni moja tu kufukuza hawa jamaa, kinyume na hapo chadema lazima
ife, narudia bila kuwafukuza hao jamaa ni suala la muda tu na chama kitasambaratika kama NCCR ya akina Mrema.