Masi Lambo
JF-Expert Member
- Apr 8, 2020
- 532
- 360
- Thread starter
- #41
Kwa hiyo anaumwa, hivyo wewe ndiyo mpuuzi usiyejua sheria za kazi, kama Lissu alivyofikiri kutangaza mitandaoni mahali alipo, ni kutaarifu bunge anaumwa. Lissu ni mpuuzi ka wewe, hana mpango, kuna wenye sifa za urais kama Msigwa hata Mbowe, Lissu ni rais wa mafala na watoto wajinga wanao watukuza wazungu, wajinga wasiojua sheria za kazi.Nilijua huna ujualo zaidi ya kupiga propaganda mfu hapa jukwaani. So ulifikiri tunamtaja huyo Mkono kwakuwa ni baba, mjomba au mchepuko wako? Kwa taarifa yako ana miaka minne hayupo bungeni yuko kitandani, kama ni lazima kuwepo bungeni physically ili kuwawakilisha wananchi, basi wananchi wa jimbo lake walipaswa waathirike. Hata hivyo hilo bandiko lako lilijikita kwenye kutokuwepo physically kwa Kiasi, na sio kutokuwepo kwa kutofuata sheria. Inaonekana hujui unaoongea nini, ndio maana unaishia kuongea upuuzi tu hapa.