Hellow Tanganyika!!
Katika mengi umejaribu kujitofautisha na mkt wako Ili kupata uungwaji mkono wananchi na wanachama,na umefanikiwa sana katika hili.
Sasa Kuna kihunzi Cha mwisho Cha kukiruka Ili urudishe Imani ya wananchi iliyoondoka baada ya ujio wa Lowwassa, mliotuambia kuwa ni fisadi mkishirikiana na Mh Mbowe. Baadae alipoingia CDM mkashirikiana kumsafisha.
Swali No 1:
Mh Lissu, Lowwassa alikuwa fisadi au la?
Swali No 2.
Kwanini ulikaa upande wa Mh Mbowe kumsafisha Lowwassa, kwanini hukukaa kimya kama Ndugu Mnyika?
Swali no 3.
Kuna mgao wowote nawe ulipokea katika ujio wa Lowwassa maana inaaminika kuwa alikuja na mapesa mingi?
Karibu Kwa majibu 🙏
Katika mengi umejaribu kujitofautisha na mkt wako Ili kupata uungwaji mkono wananchi na wanachama,na umefanikiwa sana katika hili.
Sasa Kuna kihunzi Cha mwisho Cha kukiruka Ili urudishe Imani ya wananchi iliyoondoka baada ya ujio wa Lowwassa, mliotuambia kuwa ni fisadi mkishirikiana na Mh Mbowe. Baadae alipoingia CDM mkashirikiana kumsafisha.
Swali No 1:
Mh Lissu, Lowwassa alikuwa fisadi au la?
Swali No 2.
Kwanini ulikaa upande wa Mh Mbowe kumsafisha Lowwassa, kwanini hukukaa kimya kama Ndugu Mnyika?
Swali no 3.
Kuna mgao wowote nawe ulipokea katika ujio wa Lowwassa maana inaaminika kuwa alikuja na mapesa mingi?
Karibu Kwa majibu 🙏