Huyu wasasa chadema nawapinzani wametuletea kichwa yule walikuwa wanafanya kazi mbili kumsafisha nadodoki nakumnadi nadhani unajuwa dodoki haliondoi madowa huyu kwanza anjinadi mwenyewe natunamuelewa sana tu hili naomba liwe jibu kwa wote wanafananisha uchaguzi huu naule waelewe hiloWakati Lowasa anagombea Chadema mlisema maneno kama haya lakini mwisho wa siku mlikimbia thread zenu.