Ni msimamo wa chadema, hatuko tayari kumuunga mtu mkono ambae anafikili kuwa yeye ndiye mzalendo wa kweli na kufikili yoyote yule mwenye mawazo mbadala si mzalendo.
Hatuko tayari mtu aliyekaa kwenye cabinet miaka 20 na kupitisha mikataba hii iliyotufikisha hapa Leo halafu anajitoa ufahamu nakujifanya kuwa sasa yeye ni mzalendo namba one na wale wote wanaomshauri vinginevyo si wazalendo
Mtu anaefikili kuwa anakili kuliko wote na wengine wote ni mazezeta wasio takiwa kuhoji ila kusema tu ndioooo kama ccm walivyozoea
Hatuko tayari mtu aliyekaa kwenye cabinet miaka 20 na kupitisha mikataba hii iliyotufikisha hapa Leo halafu anajitoa ufahamu nakujifanya kuwa sasa yeye ni mzalendo namba one na wale wote wanaomshauri vinginevyo si wazalendo
Mtu anaefikili kuwa anakili kuliko wote na wengine wote ni mazezeta wasio takiwa kuhoji ila kusema tu ndioooo kama ccm walivyozoea