Lissu: Si mara ya kwanza tunaahidiwa kuwekewa mikataba wazi. Kumuunga mkono Rais si lazima

Tundu Lissu ulipata umaarufu na kuaminika sana sababu ya nia, uthubuti na uzalendo uliokuwa unajaribu kuuonyesha na si kwa sababu wewe ndiye mwanasheria nguli Tz. Sote tunafahamu kuna wanasheria wengi sana Tz wenye uwezo mkubwa sana zaidi Tundu Lissu ila hawakuwa na uthubuti wa kutetea chetu.

Tundu Lissu kama na wewe huna nia njema tena na mali zetu ujue huna tena cha ziada cha kukuweka juu, unatumia nguvu nyingi sana kujaribu kukatisha tamaa juhudi zinazoendelea kwa ajili ya maslahi ya kisiasa ya chama chako, nia yako hasa ni nini? Kwa nini ulikuwa unatafuta data kutoka kwa Mwanyika ili uwatetee Acacia?
Kuwa makini sana, Zitto anapuuzwa siku hizi na wewe muda si mrefu utaingia huko huko plus 2020 si mbali, wewe mwenyewe wajue umeshinda kwa margin ndogo sana, jirekebishe vingenevyo wananchi watakufunza.
 
Mbona hazungumzii ukwepaji kodi wa acacia?
Nani amethibitisha ACACIA wamekwepa kodi? Yaani tuwaamini akina Prof Osoro katika hatua hii ambayo hata wameshindwa kuestablish waziwazi tulichoibiwa? Tuwaamini wakati wanadai ACACIA haina usajili wakati mahakama inathibitisha usajili wao?
 
Tundu Lissu ulipata umaarufu na kuaminika sana sababu ya nia, uthubuti na uzalendo uliokuwa unajaribu kuuonyesha na si kwa sababu wewe ndiye mwanasheria nguli Tz. Sote tunafahamu kuna wanasheria wengi sana Tz wenye uwezo mkubwa sana zaidi Tundu Lissu ila hawakuwa na uthubuti wa kutetea chetu.

Tundu Lissu kama na wewe huna nia njema tena na mali zetu ujue huna tena cha ziada cha kukuweka juu, unatumia nguvu nyingi sana kujaribu kukatisha tamaa juhudi zinazoendelea kwa ajili ya maslahi ya kisiasa ya chama chako, nia yako hasa ni nini? Kwa nini ulikuwa unatafuta data kutoka kwa Mwanyika ili uwatetee Acacia?
Kuwa makini sana, Zitto anapuuzwa siku hizi na wewe muda si mrefu utaingia huko huko plus 2020 si mbali, wewe mwenyewe wajue umeshinda kwa margin ndogo sana, jirekebishe vingenevyo wananchi watakufunza.
Jibuni hoja zenu msijifiche kwenye uzalendo ambao wenyewe hamna!
 
mmh! Namwelewa Tundu Lisu lakini hatoi mapendekezo. Hapo ndipo nguvu ya upinzani inapokosekana. Lisu na wenzake wanapaswa kuja na mapendekezo mbadala kama hayo aliyoagiza Mkuu wetu yana kasoro na siyo maneno tu kama hivi.
Kaeni pembeni ili muone mbadala hata miaka mitano tuu, lakini kuomba maelekezo mbadala toka upinzani na wakati nyie ndio viongozi mliopo madarakani mnajionyesha tuu msivyokuwa na mandatory ya kuongoza kwa sasa angalieni tabu yenu sasa
09391e5dce81e477e655fd9d6bc12c34.jpg
 
We unataka mapendekezo gani?? Ina maana huelewi ama makusudi...?? Ebu rudi shule....
Lissu anapiga porojo na siasa tu, anatapa tapa kila sehemu mwanzoni alipendekeza tujitoe MIGA, kitu ambacho ni ujinga. Je kwa nini Lisu alikuwa anahangaika kuomba data kutoka kwa Mwanyika ili apate cha kuwatetea ACACIA, kwa maslahi gani? Je Acacia wamemlipa chochote Lissu kwa kazi hii anayofanya?
 
Lissu huwenda unahoji vyema , sema.una haraka mno. Mambo yote uliyoyahoji ni mapendekezo ya sasa ya Rais kuokoa Jahaza jili lililotoboka , ila umejaribu kuyahoji kimmhemuko sana na kwa speed ya hali ya juu.Kila jambo litatendekea kwa utaratibu wake, sidhani kama hayo yote uliyojaribu kuyahoji yangeweza kufanyika leo.

2. Unapose kipindi fulani mlihoji kuhusu mikataba mkapuuzwa , je mngependelea kuendelea kupuuzwa ? Au ni ipi Logic ya kile unachotaka kukihoji.
Hao waliohoji wakapuuzwa sasa wamewekwa katika nafasi gani? Huoni imeagizwa washughulikiwe ndani na nje ya Bunge ili sasa waliopuuza waonekane ndio wazalendo katika hili! Mimi nilifikiri tungejadili hoja za Lissu. Mwacheni Lissu afanye yake yuko pazuri
 
Jibuni hoja zenu msijifiche kwenye uzalendo ambao wenyewe hamna!
Hoja gani, Lissu ni anatapa tapa tu ?
Ungekuwa vyema kwanza Lissu aka declare conflict of interest, kama analipwa na Acacia kufanya huu ujinga ili mnamvyomtetea mjue mnatetea mwenzenu ambaye analipwa ili kuwatetea Acacia.
 
Hao waliohoji wakapuuzwa sasa wamewekwa katika nafasi gani? Huoni imeagizwa washughulikiwe ndani na nje ya Bunge ili sasa waliopuuza waonekane ndio wazalendo katika hili! Mimi nilifikiri tungejadili hoja za Lissu. Mwacheni Lissu afanye yake yuko pazuri
Pazuri wapi ? Ni nini kilicho badilika sasa ambacho hatutanyolewa bila maji kama alivyokuwa anapayuka? Ni nini nia yake hadi aanze kuomba taarifa kutoka Acacia (Mwanyika) ili awatetee? Amelipwa kiasi gani na Acacia kwa kazi anayoifanya ya kuwatetea?
 
Hoja gani, Lissu ni anatapa tapa tu ?
Ungekuwa vyema kwanza Lissu aka declare conflict of interest, kama analipwa na Acacia kufanya huu ujinga ili mnamvyomtetea mjue mnatetea mwenzenu ambaye analipwa ili kuwatetea Acacia.
Haya ya kulipwa na ACACIA ni blah blah zenu. Badala ya kuendelea kudai upuuzi huo kwanini usiweke hapa ushahidi kwamba Lissu analipwa na ACACIA? Hata kama analipwa potelea mbali, kaweka hoja zake kule juu zijibuni acheni kutapatapa!
 
Hivi nyie viongozi wetu kuchambana mtamaliza lini..?? Kila kukicha vichwani mwenu mnawaza " Nimjibuje Lissu, Nimjibuje Magu, Nimjibuje Polepole..,, Hayo maendeleo ya nchi yetu mnayawaza masaa mangapi kwa siku..?? Punguzeni kunyoosheana vidole na kuchambana ifike muda mfikirie mbinu za kututoa kwenye huu umaskini jamani...!!

Khaa..!! Watu tutakufa tufufuke bado Tanzania iko hapahapa mmekazania Kuchambuana washenzi nyie., Tumewaamini aminikeni bhasi na nyie, Tukisema kila mmoja aone mabaya atake kuchukua nchi Patatosha kweli...??
Dah... Hii point ya mwaka 2017....Ifike mahali hizi siasa za taarab ziwekwe kando
 
Pazuri wapi ? Ni nini kilicho badilika sasa ambacho hatutanyolewa bila maji kama alivyokuwa anapayuka? Ni nini nia yake hadi aanze kuomba taarifa kutoka Acacia (Mwanyika) ili awatetee? Amelipwa kiasi gani na Acacia kwa kazi anayoifanya ya kuwatetea?
Amewaambia muweke ushahidi wa mawasiliano yake na Mwanyika, nani asiyejua kuwa nyie ni watu wa "taarabu"?
 
Nimependa hili bandiko, sio enzi zile za zidumu FIKRA SAHIHI ZA MWNYEKITI
Magu mpingane kwa hoja na ubandikaji huu, kuna ufanisi unapatikana sana tu katika TOFAUTI HIZI, harafu mwisho wa siku tunaweza shikana mikono. Ila ubabe punguza kwa maana panga mpini wake upo-kwako usiumize TUNU ZA TAIFA. Nchi yanufaika kwa mtazamo chanya iliyo TOFAUTIANA. SORRY NIMEKUITA kindugu mana ndugu wa kweli wa nyumba moja vigumu kukwazana kwa hoja za kimaendeleo japo zitawakwaza
 
-Hujaeleza tuhuma zako za kutafuta taarifa kutoka kwa Mwanyika, na ulikuwa unazihitaji kwa ajili ya nini!!
-Hujaelezea tishio lako la serikali kuingia matatani kwa kuendelea kuzuia usafirishaji makinikia
Wekeni ushahidi wa Lissu kutafuta tarifa kwa Mwanyika, acheni taarabu!
 
Haya ya kulipwa na ACACIA ni blah blah zenu. Badala ya kuendelea kudai upuuzi huo kwanini usiweke hapa ushahidi kwamba Lissu analipwa na ACACIA? Hata kama analipwa potelea mbali, kaweka hoja zake kule juu zijibuni acheni kutapatapa!
Mkuu, huyu kunguni kazaliwa mwaka 1989, mikataba ikisainiwa hajafikisha hata miaka 10 naye anamhoji Lissu....

Huu utawala ndo utapiga pesa kuliko tawala zote. Ngoja kwanza waweke lami barabara yao huku wadanganyika wakishangilia "uzalendo" wa watia lami. Mwisho watakuja kulia humu humu.
 
Haya ya kulipwa na ACACIA ni blah blah zenu. Badala ya kuendelea kudai upuuzi huo kwanini usiweke hapa ushahidi kwamba Lissu analipwa na ACACIA? Hata kama analipwa potelea mbali, kaweka hoja zake kule juu zijibuni acheni kutapatapa!
Wewe ni nyumbuzz, yaani unakubali na unaona hakuna shida kwa Lissu kuhongwa na Acacia ili awatetee? Hujui hawezi tena kuwa akili huru kwa vile anafanya kazi ya malipo? Maslahi ya Lissu kwa sasa si maslahi ya Tz bali maslahi ya Acacia.
 
Wewe ni nyumbuzz, yaani unakubali na unaona hakuna shida kwa Lissu kuhongwa na Acacia ili awatetee? Hujui hawezi tena kuwa akili huru kwa vile anafanya kazi ya malipo? Maslahi ya Lissu kwa sasa si maslahi ya Tz bali maslahi ya Acacia.
Nakujibu kadri ya ujinga uliojazwa-utakujaje kutuambia hapa kuwa Lissu kahongwa na ACACIA wakati huna hata chembe ya ushahidi? Ni upumbafu mtu mzima unaibuka hapa na hoja za kijinga kwamba Lissu kahongwa na ACACIA kwa kuwa tu ana mtazamo tofauti na wa kwenu. Acha umbugila!
 
Mkuu, huyu kunguni kazaliwa mwaka 1989, mikataba ikisainiwa hajafikisha hata miaka 10 naye anamhoji Lissu....

Huu utawala ndo utapiga pesa kuliko tawala zote. Ngoja kwanza waweke lami barabara yao huku wadanganyika wakishangilia "uzalendo" wa watia lami. Mwisho watakuja kulia humu humu.
Nyie ni wanafiki tu, mnashangilia wakati mwenzenu analipwa kuwatetea Acacia. Lissu alikuwa anapayuka tutanyolewa bila maji, ni nini kilichobadilika sasa hadi anaona aibu kuendelea kutoa hizo statement zake?
 
Nyie ni wanafiki tu, mnashangilia wakati mwenzenu analipwa kuwatetea Acacia. Lissu alikuwa anapayuka tutanyolewa bila maji, ni nini kilichobadilika sasa hadi anaona aibu kuendelea kutoa hizo statement zake?
Unataka aseme nini? Kajibu hoja zake, huwezi piga kimya! Mnakimbilia hapa na ujinga ujinga wenu mnafikiri hapa ni facebook! Hovyooooo kabisa..
 
Nyie ni wanafiki tu, mnashangilia wakati mwenzenu analipwa kuwatetea Acacia. Lissu alikuwa anapayuka tutanyolewa bila maji, ni nini kilichobadilika sasa hadi anaona aibu kuendelea kutoa hizo statement zake?
Inawezekana Wewe ndio Prof Osoro. Ushahidi unao kuwa kalipwa halafu mnakuja kulialia humu sisi tufanye nini. Kwanini msichukue hatua za kisheria? Au mnatafuta desa mfanye plagiarism iliyosemwa.
 
Back
Top Bottom