Lissu: Sheria na kanuni za uchaguzi zinataka akibaki mgombea mmoja anatangazwa kupita bila kupingwa, sasa CCM wanadai kufanya kampeni ya nini sasa?

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
FB_IMG_1573879210614.jpg
 
Wapinzani hawaogopi uchaguzi wanahofia usalama wa wapiga kura, kama siku ya kuchukua form tu,watendaji walifunga ofisi wakakimbia wapinzani wasichukue form, siku ya uchaguzi kama hawatafunga milango ya vituo vya kupigia kura wananchi watakapo wakataa na kuwachagua wapinzani kitakachowapata kinaweza kikawa ni kile kilichompata dada Akwilina.
 
Pole pole anatumia matope kufikiri. Na matope haya kayarithi kutoka kwa mwenyekiti wake
 
Heri ya kuwa na aibu, kuliko kukosa aibu. Naona chama tawala kinalazimisha kufanya "uchafuzi" badala ya "uchaguzi" wa kidemokrasia pasipo haya wala soni.
 
Wanalazimisha kwenda kwa wananchi ili wajifanye wananchi wamekubali sera zao ndio maana wanawachagua. Ukweli ni kuwa ccm haikubaliki na hilo wanalifahamu ndio maana hawataki ushindani wowote wa ukweli.
 
Polepole alikua na njaa sana ikakimbilia kwenye ubongo matokeo yake ndo hayo.
 
Back
Top Bottom