Na huo ndo ukweliNadhani wanahofia kuhusu credibility ya huu uchaguzi. “A one horse race”.
Na huo ndo ukweliNadhani wanahofia kuhusu credibility ya huu uchaguzi. “A one horse race”.
Kama mmejitoa relaxini. Haiwahusu.
Mtajiongelesha sana, lakini mwisho wa siku CCM itanyakua viti vingi kama sio vyote.
Hakika usemalo ni kweli, mbona kabla ya 2017 alikuwa na akili timamu? Amekuwepo kwenye Tume ya Warioba na alionekana kuwa ni mmoja wa vijana wanaotumia akili na wenye misimamo yenye weledi.Pole pole anatumia matope kufikiri. Na matope haya kayarithi kutoka kwa mwenyekiti wake
Wafanyakazi wa serikali ni lazima wakapige kura atake asitakeAta wana ccm wenyewe hawatatoka kupiga kura labda wawaandalie chai na msosi wa mchana vituoni.
Leo tunazindua lampeni mtaani kwetu. Karibu sana!Kama hawashindani na yoyote unategemea wachukue viti vichache? Yaani unachezesha timu yako bila timu pinzani kisha unasema timu yako itapata mshindi mkubwa, kumbe ulitegemea ipate magoli machache wakati haishindani na yoyote?
Leo tunazindua lampeni mtaani kwetu. Karibu sana!