ATRACURIUM
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 753
- 917
CCTV ziko api kwanza,maana hizo ndo zilirekodi kila kitu.Ila bora dereva amefichwa maana angejikuta pasipojulikana.
Dereva ana ushahidi mkubwa sana wa tukio zima, ushahidi mkubwa kama CCTV ulishapotea kazi inabaki kwa Dereva tu? huyo dereva tayari kesha toa maelezo mahala pengine? kiuhalisia dereva hatobadili maelezo yake unless otherwise....ngoma inogile