Bartazar
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 1,043
- 565
Msamaha upo kwa wanaotambua kuwa ni wadhambi, wanajutia dhambi zao na kuomba toba, sio kwa wanafiki, majivuno na kiburi kinachotokana na kulewa madaraka, na kutumia madaraka yao kukandamiza wengine. Ni hao hao wanaotumia madaraka yao kukulipa na wewe kwa njaa zako unakubali kutumika kuwakejeli walioumizwa na uovu. Eti logic! Hata fallacy ni logic pia. Pathetic...Endelea kumulilia Mungu kama unadhani yupo kwa ajili yako na Lissu pekee.
Hii ni dunia ya logic. Kama huwezi leta maneno yenye logic, utaendelea kulia na kutaja damu siku nzima. Umekuwa babu wa nchi kwamba unaweza laani wote usiowataka? lame duck!