Nani kasema karopoka? Ni wewe?Hiyo ndio justification ya Lissu kuropoka?
Nani kasema karopoka? Ni wewe?Hiyo ndio justification ya Lissu kuropoka?
.....mropokaji
cyber crime inakuita weweLisu asante umetusemea ya moyoni,,haujui tu jinsi gani unatufariji,,,Li mtu linajifanya kama Mungu mtu asiambiwe katukanwa. Wewe dikteta uchwara mwisho wako utakuwa mbaya sana una machozi mengi yanakulilia wanafunzi 7000 wa udom wanakulilia,,waajiriwa mliowaajiri mei juzi mmewasimamisha bila sababu wanakulilia,,wana demokrasia tunakulilia
cyber crime inakuita wewe
Nani ana msqueeze nani, wakati Lissu ndo yuko kwa Pilato?......UKAWA hamna kunguru wa dampo wala kondoo wa kafara., safi sana LIssu ,squeeze them until we get what we expect to get.
Kwani ukiingia choo cha stend ya Ubungo ukasema kinanuka unakatazwa ukifika Msamvu na kusema choo cha hapo kinanuka zaidi afadhali ya Ubungo?Ha ha ha ha watu wa chadema hawaaminiki, tusiwaamini, walitumbia serikali iliopita dhaifu, Leo wanadai ile bora
Iniite tu uzuri milioni saba ninayo,,una lenginecyber crime inakuita wewe
Unakimbilia wapi mpaka unaandika kama Mkongoman, jenga hoja na kiswahili chako kieleweke. Kimsingi wananchi wengi hawana furaha maana uchumi umebanwa, ajira hakuna na maisha ya walalahoi yamezidi kuwa magumuLissu ameishiwa tangu hamkubali Lowassa sina imani na huyu jamaa tena. Kila anachosema lazima ungalia kwa jicho la tatu.
hahahaha kabisa Mkuu! vilevile walimtangaza nchi nzima muheshimiwa Fulani kwa miaka mingi kuwa ni fisadi, na kuwambia watu kauli nyingi tuu kuhusu huyooo jamaa baadaewakaja kumsafisha kuwa mtu safiii na kumpaa ugombea urais bila kufuata taratibu halali za vikao vya chama chao, hawa jamaa ni vigeugeu kweli!!!Ha ha ha ha watu wa chadema hawaaminiki, tusiwaamini, walitumbia serikali iliopita dhaifu, Leo wanadai ile bora
Kutokana na kutudhihirishia unatukana kwa kuwa million saba unayo basi huenda mahakama ikakuhumu kwenda jela miaka mitatu na ukitoka ndio ulipe milion saba kwa kuwa umetenda kosa kwa makusudi na jeuriIniite tu uzuri milioni saba ninayo,,una lengine
A normal person cannot utter such words in public especially after what happened to that guy in Arusha. He could have had some immunity if he spoke those words in parliament but at Kisutu of all places? It is not sanity!!Jamaa ameongea hayo maneno hadharani wakati mimi hata nyuma ya keyboard naogopa.
Hatari sana!